CHADEMA iliyoshindwa kujifanyia mageuzi inatuaminishaje tukiwapa nchi watafanya mageuzi?

Tuache visingizio yaani chadema ingekaza kidogo tu ingetoboa ila sasa tatizo ni wabishi balaa
 
Hapo ndipo uwezo wako wa kufikili ulipoishia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…