Abdul mtoto wa Samiah.Kwa kutumia mifano na bila mihemko,
Elezea kauli hiyo kwa kifupi huku ukibainisha kinaga ubaga, sabababu chache za msingi za chama hicho kupoteza nguvu, mvuto, umaarufu, ushawishi na kuaminika kwa wanachama wake na wananchi kwa ujumla?
Ikikupendeza,unadhani nini kifanyike kuirejesha kwenye makali yake ya awali yaliyodorora sasa?
ooh kumbe?Waasisi wa Chadema walisema Wazi Taasisi yao siyo kwa ajili ya kuongoza DOLA bali kukamata Fursa mbalimbali
Ndio Sababu unaona Mbowe yuko kibiashara zaidi
Ripoti za CAG kuhusu mismanagement of resources huwa zinahusu Chadema?Kwa kutumia mifano na bila mihemko,
Elezea kauli hiyo kwa kifupi huku ukibainisha kinaga ubaga, sabababu chache za msingi za chama hicho kupoteza nguvu, mvuto, umaarufu, ushawishi na kuaminika kwa wanachama wake na wananchi kwa ujumla?
Soma Pia:
Ikikupendeza,unadhani nini kifanyike kuirejesha kwenye makali yake ya awali yaliyodorora sasa?
- CHADEMA hii ni fursa nyingine ya Chama kuimarika zaidi.
- Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa
Ccm ilipoteza malengo misingi ya kuanzishwa kwake 1995 alisema kolimba wakamuua ulikuwa hujazaliwa dogo ccm umeija juziKwa kutumia mifano na bila mihemko,
Elezea kauli hiyo kwa kifupi huku ukibainisha kinaga ubaga, sabababu chache za msingi za chama hicho kupoteza nguvu, mvuto, umaarufu, ushawishi na kuaminika kwa wanachama wake na wananchi kwa ujumla?
Soma Pia:
Ikikupendeza,unadhani nini kifanyike kuirejesha kwenye makali yake ya awali yaliyodorora sasa?
- CHADEMA hii ni fursa nyingine ya Chama kuimarika zaidi.
- Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa
Chama kimeyumba sanaKwa kutumia mifano na bila mihemko,
Elezea kauli hiyo kwa kifupi huku ukibainisha kinaga ubaga, sabababu chache za msingi za chama hicho kupoteza nguvu, mvuto, umaarufu, ushawishi na kuaminika kwa wanachama wake na wananchi kwa ujumla?
Soma Pia:
Ikikupendeza,unadhani nini kifanyike kuirejesha kwenye makali yake ya awali yaliyodorora sasa?
- CHADEMA hii ni fursa nyingine ya Chama kuimarika zaidi.
- Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa
nyie ndio mnaandikaga matusi kwenye mitihani. sasa sijui ni huwa swali ni gumu au makusudi tu πCcm ilipoteza malengo misingi ya kuanzishwa kwake 1995 alisema kolimba wakamuua ulikuwa hujazaliwa dogo ccm umeija juzi
Wameendelea kuua wakosoaji akina lowasa, membe nk
Ndugu mtunga huu Uzi, Naomba nikufahamishe kua wao Chadema wako vilevile katika misingi na lengo la uanzishwaji wake.Kwa kutumia mifano na bila mihemko,
Elezea kauli hiyo kwa kifupi huku ukibainisha kinaga ubaga, sabababu chache za msingi za chama hicho kupoteza nguvu, mvuto, umaarufu, ushawishi na kuaminika kwa wanachama wake na wananchi kwa ujumla?
Soma Pia:
Ikikupendeza,unadhani nini kifanyike kuirejesha kwenye makali yake ya awali yaliyodorora sasa?
- CHADEMA hii ni fursa nyingine ya Chama kuimarika zaidi.
- Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa
kwahiyo huna jibu la kisiasa pia, right?πNdugu mtunga huu Uzi, Naomba nikufahamishe kua wao Chadema wako vilevile katika misingi na lengo la uanzishwaji wake.
Tatizo lipo kwenu mnaoifuatilia Chadema mkidhani itawakomboa kwenye shimo fulani; utitiri wa Kodi, maisha magumu, bei za bidhaa juu, n.k
Wao Chadema ni chama cha siasa ambao shughuli zao siku zote ni siasa tu, hata hayo unayoyadhani kwao hayako sawa sababu ni siasa tu.
Nime'pose' tu swali kuhusiana na mada ya ndugu aliyeanzisha mjadala ndugu yangu. Sina upande wowote, ila huwa nataka tuwe fair kila upande.si ungekaandikia uzi tuone namna wangwana humu jukwaani wataeleza nini gentleman π
Ni dhahiri unawasilisha mawazo yako unavyoichukulia Chadema na unajikita kwenye kivuli cha mtafiti mbobezi wa Siasa kitaifa na kimataifa.kwahiyo huna jibu la kisiasa pia, right?π
by the way mim sio mtunga uzi,
ni kiongozi shupavu wa wananchi, mkufunzi mwandamizi, mwanasiasa na mwanadiplomasia mbobevu, mfanyibiahara, mkulima na mfugaji, lakini pia mtafiti wa masuala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, kitaifa na kimataifa...
ukiona chochote nimekiwasilisha humu, kaa ukijua tayari nimekifanyia utafiti wa kutosha na kwahivyo najaribu kujiridhisha na kuthibitisha matokeo ya utafiti wenyewe,
hata hivyo,
ikiwa una uhaba wa taarifa kuhusu masula mbalimbali, tafuta maandiko yangu itakusaidia kuongeza uelewa na ufahamu wa kutosha, na kuondoa unyonge ulionao katika kujibu maswali na kuchangia hoja, okay?π
kuna changamoto chadema gentleman π
actually,Ni dhahiri unawasilisha mawazo yako unavyoichukulia Chadema na unajikita kwenye kivuli cha mtafiti mbobezi wa Siasa kitaifa na kimataifa.
Lakini ukweli ni kua Tangu vyama vya siasa (mfumo wa vyama vingi) kuanzishwa lengo ni kufanya siasa, si hio dhana yako kwa Chadema au pia vyama vingine vyovyote vya kisiasa.
Hayo unayo yaongelea ni jinsi wewe utakavyo/upendavyo kuhusu chama fulani.
Kumbuka mfumo wa vyama vingi sehemu nyingine ya malengo ni;
1. Kuwawezesha watakaokosa nafasi ya madaraka ndani ya Sisiyemu basi wawanie madaraka nje yake
2. Kutoa nafasi kwa wapiga kura kuwachagua viongozi wanaowataka (usichanganye na atakaye tangazwa mshindi)
Chadema hawajawahi kwenda nje ya malengo ya kufanya siasa.