Kila alipopita Mgombea wa Urais wa CCM akipita wa CHADEMA mahudhurio wananchi waliofikia umri wa kupiga kura inakuwa ni mara mbili,Ni ukweli usio pingika ambao utadhihirishwa kwa usahihi zaidi siku na baada ya upigaji kura na kura kuhesabiwa.
Unajua Mheshimiwa Magufuli chama chake kinawavutia watu na yale mashangingi waimbaji sio sera za wala ndege wala barabara au menginetele,huku kwengine watu wanaenda kusikiliza sera na mustakbali wa maisha yao ya baadae
Mipangilio inayoelezwa inawapa faraja wengi wanao hudhuria muda hutumika vizuri kwa viongozi mbalimbali kumwaga sera kwa kina tofauti na CCM mbao muda mwingi huwachezesha bolingo waliohudhuria.
Unajua Mheshimiwa Magufuli chama chake kinawavutia watu na yale mashangingi waimbaji sio sera za wala ndege wala barabara au menginetele,huku kwengine watu wanaenda kusikiliza sera na mustakbali wa maisha yao ya baadae
Mipangilio inayoelezwa inawapa faraja wengi wanao hudhuria muda hutumika vizuri kwa viongozi mbalimbali kumwaga sera kwa kina tofauti na CCM mbao muda mwingi huwachezesha bolingo waliohudhuria.