CHADEMA ina mpango wa kupeleka wabunge wa Viti Maalumu kuchukua nafasi za Mdee na wenzake 18

CDM haili najisi, kukubali kushiriki jambo lolote lile lililotokana na ubedhuri wa uchaguzi ule ni sawa na kula kibudu. Msimamo ni uchaguzi urudiwe kukiwa na Tume huru ya uchaguzi.
 
Nadhani unaeumia ni wewe. Seems ulitamani sana viongozi wa CHADEMA waendelee kususa to prove a point. Bahati mbaya huna clue chama kinaendeshwaje
Mkuu kama negotiation zimefunguliwa kuna haja ya Kuendelea kususa? Maana najua main idea ya kugoma kushiriki chaguzi ni kutaka reforms ya sheria za uchaguzi sasa kama suluhu imeanza kupatikana kwa kuanza na mazungumzo na Rais (by the way haikuwezekana kwa miaka 6 sasa) je kuna haja ya kuweka mgomo? Utakua unagomea nini sasa?

Yaani unagoma kufanya kazi mpaka ule.....then Masufuria yanaandaliwa na moto unawashwa bado tu unaendeleza mgomo? Unataka nini sasa hapo?
 
CCM ni ile ile, leo mtamuachia huyu kesho ataibuka mwingine arudie ujinga wa mwendazake, kama Chadema wakienda bungeni wahakikishe kwanza wanapewa Tume Huru vinginevyo ni kujidanganya tu, na Mbowe keshasema bila Tume Huru hawashiriki uchaguzi, tuepuke kero km hizi next time.
 
Hili anajua zaidi Chairman na Katibu. According to CAG, mpunga unaingia kwenye account kama kawaida tu.

Politics waachieni politicians!
Hapana hii si kweli CHADEMA hawajaingiziwa maana hawakupeleka hata account rasmi ya chama ilipohitajika.

Ruzuku yenyewe ni chini ya million 100 sioni kma ni hela ya kuwafanya wa risk reputation.
 
CHADEMA hawana haja na Halima mdee na wenzake hao ni wabunge wa Ndugai na mwenyekiti wa malaika,CHADEMA inahaja na kuheshimiwa kwa katiba.
 
Yaani ufipa ni kama mtoto unamiga Kofi la shavu analiaaaaaaaa halafu unampa pipi kijiti anaalambalamba halafu anaacha kulia [emoji3][emoji1][emoji1]

Uwiii[emoji125][emoji125]
😂😂😁
 
Kwanini mnamuita mzee mdee
 
Chadema walisema hawatambui uchaguzi wa mwaka 2020 ila sasa wanataka kupeleka majina tena?😂

Chadema kwenye hela hawawezi kuruka, hawawezi.

Sasa wameruka ruka weee sasa wanakaa.

Kwa hiyo ule uchaguzi wanautambua na wanakiri kua walishindwa kwa haki, sio?

Nilijua mbele ya hela chadema sio kitu, si chochote si lolote. Ona sasa wametepeta
 
CDM haili najisi, kukubali kushiriki jambo lolote lile lililotokana na ubedhuri wa uchaguzi ule ni sawa na kula kibudu. Msimamo ni uchaguzi urudiwe kukiwa na Tume huru ya uchaguzi.
Anachopanga Mbowe huna ubavu wa kupinga
 
sasa mumeshikwa pabaya ...mae tulieni tumimine DAWA iwangie vizuri.. shwain nyie

Tatizo mnadhaniaga the way chadema kila mtu anasharubu basi ndio mpaka taasisi nyingine nazo ziko hivyo,

Mlisema after hotuba ya mama wabunge watatolewa mbona mpaka leo hii wapo bungeni?
 
Wewe unatakaJe lakini !!.
Kwanini unaamini ktk faraka zaidi ya maridhiano ?!. Kwanini unaumia !!
 
Watapelekaje wakati wazito wanakumbatia Covid-19 bungeni?
 
Watapelekaje wakati wazito wanakumbatia Covid-19 bungeni?
Ndugai na kiti chake wanakumbatia wale watu katika ile hali ya kujustify walichokifanya.

Msimamo wa CHADEMA seems ni katika kile kinachoitwa kussupport efforts za Mama za kuleta maelewano ya kisiasa. Kama ule mkutano wa wanasiasa na Rais utafanyika kweli baada ya CHADEMA kuandika barua kwa Rais kuomba audience, moja ya compromise nadhani itakuwa ni kuwatosa akina Mdee.

Hii ni hatua nzuri japo imechelewa na lazima nidhamu ya kuheshimu institutions ijengwe kwa vitendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…