Nachoipenda CDM hakuna mkubwa kuzidi chamaHao akina Mdee wakitolewa huko Bungeni basi kisiasa watakuwa wamekufa, maana watashambuliwa kila kona na mashabiki wa CDM, kama kuna mabingwa wa kuchafua watu hapa nchini hamna anawafikia CDM, may be Nape anawafuatia, ila kwa mbali sana. Babu Slaa na ubishi wake wote aliwakimbia CDM, akaona bora akawe meneja wa Supermarket, CDM wana midomo michafu sana, watakupa kila aina ya majina. Haya Mzee Mdee karibu mtaani uje ukinywe kikombe ulichojiandalia mwenyewe.
Na kura zitaendelea kuibiwa tu kama process ya uchaguzi itaendelea kuwa hii hii
Ni wendawazimu kuendelea kuingia kwenye uchaguzi huku ukijua kabisa mbinu iliyotumika kukuchapa mwaka 1995 itaendelea kutumika tena na tena.
Ofcourse labda lengo kuu liwe sio kushika dola bali kuambulia/kutupiwa viti 20-25 hivi vya ubunge ili Ruzuku iendelee kuja na maisha yasonge
Unataka kusemaje Chief? Kwamba kuingia kwenye uchaguzi TZ kwa mifumo ya sasa ni kupoteza muda?Nyie aliewambia uchaguzi wa Afrika ni wa kwenye makaratasi ni nani?
Unataka kusemaje Chief? Kwamba kuingia kwenye uchaguzi TZ kwa mifumo ya sasa ni kupoteza muda?
Swali ni je, wapinzani hawalijui hili au wanajua vizuri ila wanaigia tu ili angalau waambulie ruzuku kidogo?