Pre GE2025 CHADEMA inaangamia vibaya na kwa uchungu sana

Pre GE2025 CHADEMA inaangamia vibaya na kwa uchungu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Haifahamiki inatetea nini kwa sasa, na kiongozi wake ni nani kwa sasa.

Haijulikani mikutano inayoendelea kwa sasa ina baraka na inagharamiwa na chama au ni mikutano ya mtu binafsi tu.

Uelekeo wala dhima ya mikutano yenyewe haifahamiki ni nini, maana ni story na porojo tu za pata potea mwanzo mwisho.

kiujumla,
Mwanzo wa mwisho wa Chadema ni wa tofauti kidogo na vyama vingine vya siasa vilivyotangulia kusambaratika licha ya kwamba kwa sehemu kubwa unafanana, baada ya mafahali wawili ndani ya vyama hivyo kushindwa kujidhibiti hisia zao dhidi ya mapungufu, changamoto, dosari na kasoro zilizomo chamani....

Badala ya kuzitafutia suluhu ya pamoja ndani ya chama chao ,wameamua kuyaanika hadharini, sijui ni kwa maslahi ya nani 🐒

Wacha tusubiri tuone matokeo ya mpasuko huo, ambao wanachadema wenyewe waunakana na kwamba wanadai hakuna mgawanyiko, mpasuko, mwanya wala pengo 🐒
 
CHADEMA is dying in tremendous speed.
Mtumbwi unazama kwa kasi kubwa ,some of us grew up watching CHADEMA as strong vessel which will take us to promised land/canan but the drunken captain Mbowe is puncturing the vessel from within.

So sad
 
Haya mtoa mada twende kushoto, kulia, kushoto, kulia

JamiiForums1267461471_387x387.jpg
 
CHADEMA is dying in tremendous speed.
Mtumbwi unazama kwa kasi kubwa ,some of us grew up watching CHADEMA as strong vessel which will take us to promised land/canan but the drunken captain Mbowe is puncturing the vessel from within.

So sad
Election stealers' prayers.
 
K
Haifahamiki inatetea nini kwa sasa, na kiongozi wake ni nani kwa sasa.

Haijulikani mikutano inayoendelea kwa sasa ina baraka na inagharamiwa na chama au ni mikutano ya mtu binafsi tu.

Uelekeo wala dhima ya mikutano yenyewe haifahamiki nini, maana ni story na porojo tu za pata potea mwanzo mwisho.

kiujumla,
Mwanzo wa mwisho wa Chadema ni wa tofauti kidogo na vyama vingine vya siasa vilivyotangulia kusambaratika licha ya kwamba kwa sehemu kubwa unafanana, baada ya mafahali wawili ndani ya vyama hivyo kushindwa kujidhibiti hisia zao dhidi ya mapungufu, changamoto, dosari na kasoro zilizomo chamani....

Badala ya kuzitafutia suluhu ya pamoja ndani ya chama chao ,wameamua kuyaanika hadharini, sijui ni kwa maslahi ya nani 🐒

Wacha tusubiri tuone matokeo ya mpasuko huo, ambao wanachadema wenyewe waunakana na kwamba wanadai hakuna mgawanyiko, mpasuko, mwanya wala pengo 🐒
Kwani ikigawanyika c ndiyo nafuu yako? Nadhani ungeacha ushauri ili igawanyike upate Raha. Unaharibu kushauri
 
K

Kwani ikigawanyika c ndiyo nafuu yako? Nadhani ungeacha ushauri ili igawanyike upate Raha. Unaharibu kushauri

ni katika kujifunza, kuongeza uelewa, ufahamu na maarifa juu ya masuala mbalimbali ya kisiasa Tanzania... 🐒
 
Haifahamiki inatetea nini kwa sasa, na kiongozi wake ni nani kwa sasa.

Haijulikani mikutano inayoendelea kwa sasa ina baraka na inagharamiwa na chama au ni mikutano ya mtu binafsi tu.

Uelekeo wala dhima ya mikutano yenyewe haifahamiki nini, maana ni story na porojo tu za pata potea mwanzo mwisho.

kiujumla,
Mwanzo wa mwisho wa Chadema ni wa tofauti kidogo na vyama vingine vya siasa vilivyotangulia kusambaratika licha ya kwamba kwa sehemu kubwa unafanana, baada ya mafahali wawili ndani ya vyama hivyo kushindwa kujidhibiti hisia zao dhidi ya mapungufu, changamoto, dosari na kasoro zilizomo chamani....

Badala ya kuzitafutia suluhu ya pamoja ndani ya chama chao ,wameamua kuyaanika hadharini, sijui ni kwa maslahi ya nani 🐒

Wacha tusubiri tuone matokeo ya mpasuko huo, ambao wanachadema wenyewe waunakana na kwamba wanadai hakuna mgawanyiko, mpasuko, mwanya wala pengo 🐒
mi kiukweli hata siwaelewi na hasa mwenyekiti wao
 
Nchi ina idadi kubwa sana ya wapumbavu!
mambo yanayotokea hadharani mchana kweupe, huwa ni ngumu sana kuyapindisha au kuyafafanua kitofauti....

kichaka cha kukwepa kujieleza huwa ni ghadhabu na mihemko itakayochochea, kubadili uelekeo wa mjadala kuwa ni kwenye dhihaka, matusi n.k🐒
 
Haifahamiki inatetea nini kwa sasa, na kiongozi wake ni nani kwa sasa.

Haijulikani mikutano inayoendelea kwa sasa ina baraka na inagharamiwa na chama au ni mikutano ya mtu binafsi tu.

Uelekeo wala dhima ya mikutano yenyewe haifahamiki ni nini, maana ni story na porojo tu za pata potea mwanzo mwisho.

kiujumla,
Mwanzo wa mwisho wa Chadema ni wa tofauti kidogo na vyama vingine vya siasa vilivyotangulia kusambaratika licha ya kwamba kwa sehemu kubwa unafanana, baada ya mafahali wawili ndani ya vyama hivyo kushindwa kujidhibiti hisia zao dhidi ya mapungufu, changamoto, dosari na kasoro zilizomo chamani....

Badala ya kuzitafutia suluhu ya pamoja ndani ya chama chao ,wameamua kuyaanika hadharini, sijui ni kwa maslahi ya nani 🐒

Wacha tusubiri tuone matokeo ya mpasuko huo, ambao wanachadema wenyewe waunakana na kwamba wanadai hakuna mgawanyiko, mpasuko, mwanya wala pengo 🐒
Hata mke akikuzoea kila siku upo ndani ya nyumba anakuona wewe huna maana yeyote ndiyo maana wakati mwingine mwanaume anasafiri au analala nje ya nyumba ili mke ajue uwepo wake na kuamsha penzi upya

Mfumo wa chama chao unaonekana unamilikiwa na mtu mmoja ambaye ndiye mwenye chama na ndiyo maana unaona wagombeaji wa madaraka ni wale wale na hata hawakati tamaa miaka yote.

Sasa jiulizeni pia kadiri wanavyo zeeka ninani atakaye kiendesha chama katika ustad mzuri .

Mwisho wa chama chao ni mbaya sana.
 
Na bado Serikali ya CCM inatumia majeshi yooote ya nchi hii kupambana na Chadema.
 
Back
Top Bottom