Elections 2010 CHADEMA inaongoza Igunga

Elections 2010 CHADEMA inaongoza Igunga

cilla

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
372
Reaction score
299
Cdm inaongoza mpaka sasa zaidi ya ccm kwa kura 293. Ktk vituo 24
 
Naaambiwa wazee wa ccm washarudi dar
 
Hatimae kwa habari za hivi punde cdm wametetea kiti cha udiwani kata ya nzovwe ambako diwani wao alijiuzulu na kuacha kiti hicho wazi na ccm wamefanikiwa kutetea kata ya majengo kata iliyokuwa ikongozwa na ccm baada ya diwani kufariki dunia.
 
Pumbavu zao wana majengo
Hatimae kwa habari za hivi punde cdm wametetea kiti cha udiwani kata ya nzovwe ambako diwani wao alijiuzulu na kuacha kiti hicho wazi na ccm wamefanikiwa kutetea kata ya majengo kata iliyokuwa ikongozwa na ccm baada ya diwani kufariki dunia.
 
Back
Top Bottom