Hivyo unawashauri Chedema wamsusie shamba ngedere ?。Sioni sababu ya kwanini chadema iendelee kushiriki uchaguzi huu
Hakuna kitu kama hicho.Tunakusanya ushahidi wa mwisho kabla ya kutangaza uamuzi.. Kumbuka ni lazima ufuate hata zote kwanza mpaka mwisho kwa faida ya baadae
Ili wamkomoe nani? Vyama vya Upinzani hapa Tanzania ni Chadema pekee? 😁😁😁😁😁Wagombea wa chadema makumi kwa maelfu wameenguliwa nchi nzima kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu. Sioni sababu ya kwanini chadema iendelee kushiriki uchafuzi huu ambao Askofu Bagonza ameubatiza jina la "mashindano ya kujaza fomu"
Hakuna lolote mtagalagazwa mwaka huu na mwakani pia MAMA mpaka 2030Tunakusanya ushahidi wa mwisho kabla ya kutangaza uamuzi.. Kumbuka ni lazima ufuate hata zote kwanza mpaka mwisho kwa faida ya baadae
Wewe unafikiri Chadema wakisusa ndo ACT Wazalendo hàwatashiriki? Wasuse tuu kwàni wao ndo wapinzani pekee?Wagombea wa chadema makumi kwa maelfu wameenguliwa nchi nzima kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu. Sioni sababu ya kwanini chadema iendelee kushiriki uchafuzi huu ambao Askofu Bagonza ameubatiza jina la "mashindano ya kujaza fomu"
Then ukishakusanya unaupeleka wapi,na je suluhu itapatikana?,nini kitafuata?,Tunakusanya ushahidi wa mwisho kabla ya kutangaza uamuzi.. Kumbuka ni lazima ufuate hata zote kwanza mpaka mwisho kwa faida ya baadae
Wazipeleke kwa wazungu waonewe hurumaThen ukishakusanya unaupeleka wapi,na je suluhu itapatikana?,nini kitafuata?,
Chama cha Demokrasia na MaendeleoTunakusanya ushahidi wa mwisho kabla ya kutangaza uamuzi.. Kumbuka ni lazima ufuate hata zote kwanza mpaka mwisho kwa faida ya baadae
Wagombea wa chadema makumi kwa maelfu wameenguliwa nchi nzima kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu. Sioni sababu ya kwanini chadema iendelee kushiriki uchafuzi huu ambao Askofu Bagonza ameubatiza jina la "mashindano ya kujaza fomu"
Chama cha Demokrasia na MaendeleoInawezekana kweli walikuwa wanafanya makosa kwenye ujazaji wa taarifa. Nimekuwa naangalia uteuzi katika maeneo mbalimbali, kuna maeneo unakuta kila nafasi gombewa ina mgombea wa Chadema, maeneo mengine unakuta mmoja tu.
Tunakusanya ushahidi wa mwisho kabla ya kutangaza uamuzi.. Kumbuka ni lazima ufuate hata zote kwanza mpaka mwisho kwa faida ya baadae
Ili wamkomoe nani? Vyama vya Upinzani hapa Tanzania ni Chadema pekee? 😁😁😁😁😁
Hakuna lolote mtagalagazwa mwaka huu na mwakani pia MAMA mpaka 2030
Wewe unafikiri Chadema wakisusa ndo ACT Wazalendo hàwatashiriki? Wasuse tuu kwàni wao ndo wapinzani pekee?
Kikubwa ushindi nendeni kwa wazungu wawape nchiUtagalagazwa mwenyewe, uchaguzi gani unasimamiwa na mkwe wa Rais?.