CHADEMA inatoa mchakamcha usio wa kawaida kwa chama tawala CCM kwa speed ya hypersonic

CHADEMA inatoa mchakamcha usio wa kawaida kwa chama tawala CCM kwa speed ya hypersonic

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wajf imani ikatawale popote mlipo.
Andiko langu litakua fupi

Chama kikuu cha upinzani Tanzania (Chadema) mpaka sasa kinatoa mchakamcha ambao sio wa kawaida kwa chama tawala CCM kwa speed ya hypersonic kiasi kwamba wafuasi na Viongozi wa chama cha ccm wanashindwa wapi pa kushika na wenda wanajuta kukifaham chama ichi kikuu cha upinzani.

Ukipita katika mitandao ya kijamii mbalimbali ikiwemo jf hata vijana waccm waliopandikizwa huko kujaribu punguza speed bado mambo yamekua magumu sana kwao na sasa vijana wa ccm katika mitandao ya kijamii wamegeuka kuwa watetezi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania (Chadema ) badala ya chama chao ccm, vilio kila kona, hii haijawai tokea .

Wenda pia tatizo ikawa sio vijana wa ccm kushindwa katika ujengaji wa hoja zao kwa upande wa pili bali tatizo inaweza kuwa chama chenyewe(ccm) kwa kushindwa mda mrefu tengeneza vijana mahili wenye uwezo wa kupangua hoja kwa logic matokeo yake chama kimezalisha machawa ambao wao huamini katika kusifia na sio katika kujenga chama, kukosoa chama, na kuwa na fikra pana katika kujenga na kupangua hoja za upande wa pili, sasa tunaona wanaanza tetea chama ambacho sicho kinaweza kuwawekea hata bando katika simu zao.

Mwisho
Chadema kamatia hapo hapoubao unasoma 55 kwa 0 upande waccm, vilio ni vikali mno, chadema kabla ubao wenu haujafika 💯 nawambieni tutaanza kuwaona wana ccm wakiongea peke yao barabarani.

Watz tuendelee kuchangia gari ya Mh lissu iwe mvua au jua gari lazima kununuliwa.

Thanks.
 
Mkuu unaota kutokea wapi? Chaema ya mitanaoni ilishindwa kuandamana mitaani. Yale maandamano yalitoa picha halisi kwamba cdm imekufa haipo tena
 
Wajf imani ikatawale popote mlipo.
Andiko langu litakua fupi

Chama kikuu cha upinzani Tanzania (Chadema) mpaka sasa kinatoa mchakamcha ambao sio wa kawaida kwa chama tawala CCM kwa speed ya hypersonic kiasi kwamba wafuasi na Viongozi wa chama cha ccm wanashindwa wapi pa kushika na wenda wanajuta kukifaham chama ichi kikuu cha upinzani.

Ukipita katika mitandao ya kijamii mbalimbali ikiwemo jf hata vijana waccm waliopandikizwa huko kujaribu punguza speed bado mambo yamekua magumu sana kwao na sasa vijana wa ccm katika mitandao ya kijamii wamegeuka kuwa watetezi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania (Chadema ) badala ya chama chao ccm, vilio kila kona, hii haijawai tokea .

Wenda pia tatizo ikawa sio vijana wa ccm kushindwa katika ujengaji wa hoja zao kwa upande wa pili bali tatizo inaweza kuwa chama chenyewe(ccm) kwa kushindwa mda mrefu tengeneza vijana mahili wenye uwezo wa kupangua hoja kwa logic matokeo yake chama kimezalisha machawa ambao wao huamini katika kusifia na sio katika kujenga chama, kukosoa chama, na kuwa na fikra pana katika kujenga na kupangua hoja za upande wa pili, sasa tunaona wanaanza tetea chama ambacho sicho kinaweza kuwawekea hata bando katika simu zao.

Mwisho
Chadema kamatia hapo hapoubao unasoma 55 kwa 0 upande waccm, vilio ni vikali mno, chadema kabla ubao wenu haujafika 💯 nawambieni tutaanza kuwaona wana ccm wakiongea peke yao barabarani.

Watz tuendelee kuchangia gari ya Mh lissu iwe mvua au jua gari lazima kununuliwa.

Thanks.
kwani ccm wanashindana na chadema kwenye nini? yaaani ccm wako busy na kazi za maana kwa taifa hawako kushindanishwa na vi saccoss vya kina mbowe hakuna wa kushindana naye kwa hiyo labda wakashindane na TLP au ACT wazalendo
 
Chadema kuweni makini ccm wanatumia mabalozi kuwambia watu wasitoe fedha kununu ndinga ya LISU , nanyi undeni mablozi

Chadema ni msingi wakowapi
 
kwani ccm wanashindana na chadema kwenye nini? yaaani ccm wako busy na kazi za maana kwa taifa hawako kushindanishwa na vi saccoss vya kina mbowe hakuna wa kushindana naye kwa hiyo labda wakashindane na TLP au ACT wazalendo
Unajitekenya na kucheka mwenyewe ccm hali ni mbaya wanatafuta mchawi hawamuoni
 
Mkuu unaota kutokea wapi? Chaema ya mitanaoni ilishindwa kuandamana mitaani. Yale maandamano yalitoa picha halisi kwamba cdm imekufa haipo tena
Mbona sasa makada wa CCM 24/7 humu mitandaoni wanaongolea habari za marehemu Chadema,hivi wana akili timamu kweli hawa?
 
Kwa kweli kuna kila sababu ya CCM kupumzishwa kwa sasa maana nchi imewashinda kabisa kuiongoza kwa mafanikio.

Wanaongoza kimazoea na hawana mbinu tena nyingine ya kulitoa taifa hapa lilipo kwenda sehemu nyingine kimaendeleo.

Tanzania ni taifa ambalo lina rasilimali za kutosha kulifanya liwe the leading nation katika ukanda huu wa maziwa makuu, lakini viongozi wetu wapi busy kushindana kumiliki mali binafsi bila kujali wamewekwa hapo ili kuwatumikia wananchi wote hata ambao hawakusoma. Inaumiza sana inapofikia hatua viongozi wetu wanafikia hatua ya kuuza ardhi yetu tuliyopewa na mwenyezi Mungu kwa wageni mfano ni bandari yetu na Loliondo na maeneo mengine potential ambayo yameuzwa au yamekodoshwa kwa mikataba ya milele.

Japo taifa letu ni la watu wapole sana lakini imefika hatua sasa kubadilisha uongozi ili watu wengine wenye mawazo tofauti na watawala wa sasa waonyeshe njia kwa kufuata utaratibu mzuri na hao naamini watatengeneza katiba na dira nzuri kwa taifa. Tofauti na sasa ambapo taifa linaendeshwa kwa uchawa. Ni kama viongozi wetu hawajui wapi madarakani kwa lengo gani.

Na ukiangalia katika vyama vya siasa vilivyopo ni kama Chadema ndiyo inaonyesha kuleta mabadiliko japo na wao kuna mambo ya kijinga fulani fulani wanatakiwa kuyarekebisha.
 
Back
Top Bottom