jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.
Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.
Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.
Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.
Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.
Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.
Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.
Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!