CHADEMA inawaza madaraka tu hawana Sera za kukwamua uchumi wa Tanzania

CHADEMA inawaza madaraka tu hawana Sera za kukwamua uchumi wa Tanzania

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sasa mtu unaitwa jingalao utaweza kuielewa chadema kweli, wewe size yako ni ccm lumumba buku7
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sasa CCM iliyo kaa madarakani miaka zaid ya 60 na wananchi wake wanakunywa maji na mifugo hadi sasa unaisemaje!??
 
Hakuna Chama chenye Sera nzuri kwa maendeleo ya Tanzania hii kama Chadema.

Ili kufanikisha Sera zake lazima washike kwanza dola ( Wapate madaraka) maana hiyo ndo njia pekee itakayowawezesha kutekeleza Sera zao.
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ila wanaccm wajue kutokana na kukosekana chama mbadala wawe makini kuteua viongozi wajamaa na wazalendo na wawe tayari kukosoa viongozi wasio na fikraa za kijamaa na wale fisadi. Tumeona ccm wakiwepo vigogo wake waliyofurahia kufa magufuli na mama kuyumba hajitambui kwamba nchi inatakiwa kwenda kwa falsafa ya chama ya ujamaa na kujitegemea.
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kwahiyo uneridhika na sisiemu kwa hii miaka zaidi ya 60 ?
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Utakwamuaje kabla hujapata madaraka,bwana mdogo kaone uso
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Haya ni maneno ya kawaida ya mwanaccm yoyote.
 
Hakuna Chama chenye Sera nzuri kwa maendeleo ya Tanzania hii kama Chadema.

Ili kufanikisha Sera zake lazima washike kwanza dola ( Wapate madaraka) maana hiyo ndo njia pekee itakayowawezesha kutekeleza Sera zao.
hold on em tuambie hizo sera zake nzuri. Walikua wanapiga kelele decentralization cha ajabu hata kweny chama chao kumbe hio decentralization haipo tuliwasikia kipindi kile kweny chaguz zao sio maneno yetu. Sasa sera ndogo kama hio tu kweny chama imewashinda sasa wataweza kwel kweny nchi
 
Sera za CHADEMA za uraia pacha zitawavutia Watanzania wengi walioko Diaspora kuja kuwekeza nchini.
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mkuu katiba mpya ndio msingi wa yote.

Hakuna jambo baya kama kuona mtu ambaye anaelewa mambo halafu kwa makusudi anaamua kupitisha mambo anayoyaelewa!!

Hii haipo kwenye uchawa wala upumbavu!!!
 
Sijaona maono yoyote ya maana kutoka kwa Mwenyekiti mpya wa chadema ambayo yanaweza kubadili nchi zaidi ya kuwazia madaraka ya kiserikali tu.

Sijasikia mipango madhubuti kwenye sekta mbalimbali mfano kilimo,teknolojia,ajira,afya,elimu au maswala ya ulinzi na usalama.

Ni ujuha kalulu kufikiri katiba mpya itakupa maswala ya msingi ambayo dunia ya leo inakabiliana nayo.

Marekani ambayo tunaamini ina katiba bora leo hii inapambana na ufisadi kupiti DOGE ya Elon Musk....hii inamaanisha katiba si lolote si chochote inapokuja kwenye swala la ustawi wa nchi na watu wake.

Tuendelee kuiamini CCM na tuipe mambo muhimu ya kufanyia kazi ...tuachane na vibweka vya wapinzani visivyo na muelekeo.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hao walio madarakani wana kila myenzo miaka 60 plus hakuna cha maana walichofanya zaidi kila mtu anahomolaa na familia yake tu.....sio kwa wananchi masikini wale teeee kabisa hakuna anaewajalii.....wao kushinda uchaguzi kutawala kuiba mipesa.....kudanganya umma wananchi masikini hawana elimu
 
Ila wanaccm wajue kutokana na kukosekana chama mbadala wawe makini kuteua viongozi wajamaa na wazalendo na wawe tayari kukosoa viongozi wasio na fikraa za kijamaa na wale fisadi. Tumeona ccm wakiwepo vigogo wake waliyofurahia kufa magufuli na mama kuyumba hajitambui kwamba nchi inatakiwa kwenda kwa falsafa ya chama ya ujamaa na kujitegemea.

Mkuu hii ni falsafa mufilis!! Haitekelezeki kwa nyakati za sasa!
 
Back
Top Bottom