Chadema ingelikuwa madarakani, ni vipi ingeandaa katiba?

Chadema ingelikuwa madarakani, ni vipi ingeandaa katiba?

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,149
Reaction score
3,825
WanaJF,

Kwa muda sasa nimekuwa nikisikia wapinzani, to be specific, CHADEMA, wakiwa wanajigamba kuwa wazo la katiba lilikuwa lao na wameilaumu serikali kufuatia maamuzi yake ya kulitekeleza eti ya kuwa serikali imekurupuka hivyo ni kama imebaka mchakato wa katiba mpya.

Hayo yameelezwa na viongozi mbalimbali wa CHADEMA kuwa serikali ya CCM imeamua kukurupukia mchakato wa katiba kwa lengo la kuandaa katiba itakayolinda serikali na chama tawala, yaani CCM, na kuvikandamiza vyama vingine pamoja na Watanzania kwa ujumla.

Binafsi sioni tatizo lolote la huu mchakato mpaka sasa, isipokuwa kuna mapungufu madogo madogo tu ikiwemo hili la posho. Ila hoja za wapinzani kuwa huu mchakato umebakwa sioni kama zina mantiki, UNLESS, wapinzania waseme wao wangeufanya vipi mchakato wa kuandaa katiba ili tulinganishe na huu wa sasa.
 
hakuna jipya ktk chadema

unafiki wa viongoizi wa chadema umefika hadi mbinguni
 
We umeona tu la posho kuwa ndogo ndio kasoro!!
Kweli magamba mmelaaniwa...
 
We umeona tu la posho kuwa ndogo ndio kasoro!!
Kweli magamba mmelaaniwa...

Kabla ya kufikia hitimisho lako. Umetumia kipimo gani kufahamu kuwa wewe ndiyo hujalaaniwa hasa unapopiga mstali kifikra bila kueleza mapungufu ya mchakato wa Katiba.

You are showing all attributes of bavicha mentality. Are you Bavicha?.
 
Kabla ya kufikia hitimisho lako. Umetumia kipimo gani kufahamu kuwa wewe ndiyo hujalaaniwa hasa unapopiga mstali kifikra bila kueleza mapungufu ya mchakato wa Katiba.

You are showing all attributes of bavicha mentality. Are you Bavicha?.

I am proud to have BAVICHA mentality... nilikuwa na uhuru ama wa kuchagua BAVICHA au UVCCM, nikaamua kuchagua BAVICHA, na hadi nilipopita umri wa kuwa BAVICHA sikuwahi kujutia na naamini sitakaa nijutie uamuzi huo...
 
Back
Top Bottom