huyu mtoa mada hajielewi alafu anauliza majibu anajijibu kisha aelewi anachojibu, hivi wewe unaona wametokana na chama gani na wamepitishwa na nani mpaka kuwa wabunge wa kuteuliwa?mbona macho na masikio unayo?kwanini unasumbua watu watafakari andishi lako?sisi kama chadema hatuwatambui elewa hivyo