Uchaguzi 2020 CHADEMA isishiriki Uchaguzi mkuu Oktoba 2020 sababu ya Corona

Uchaguzi 2020 CHADEMA isishiriki Uchaguzi mkuu Oktoba 2020 sababu ya Corona

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha
 
Chadema sanyingine wanamaamuzi ya kijinga... Waligomea serikali za mitaa kijinga na uchaguzi huu bila tume huru hali itakuwa mbaya. Inafaa wajifunze siasa za demokrasia ya kistaarabu na kimaendeleo.
-Kilakitu wanapinga na elimu zao ndooogo kabisa.

- hawafanyi cha maana (hata mafuriko majimboni mwao hawaendi kusaidia) kisa eti hawakusanyi kodi wao nikula na familia zao.
- wanahitajika lkn hawajielewi,hawajengi maelewano na maridhiano no mipasuko na madharau.

- wanachafua/kutusi watu bila ushahidi kisa wapande kisiasa,walimfanyia hivyo lowassa badae wakala matapishi na hata kinana mpaka kumwomba radhi sasa sijui wanamtaka chamani.

- hawasimamii jambo wakafanikisha mf. katiba,tume ya uchaguzi nk.
Chama kitaanguka vibaya hiki inabidi kijivue gamba kibadilike lasivyo kitapotea kama CUF!!
 
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Agenda hii umeileta mapema mno. Subiri tu hoja italetwa ndugu. Wakati ukuta ukipigana nao utaumia
 
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo watapatikana wajaribu waone yawakute kama yaliyo mkuta mpem ba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema sanyingine wanamaamuzi ya kijinga... Waligomea serikali za mitaa kijinga na uchaguzi huu bila tume huru hali itakuwa mbaya. Inafaa wajifunze siasa za demokrasia ya kistaarabu na kimaendeleo.
-Kilakitu wanapinga na elimu zao ndooogo kabisa.
- hawafanyi cha maana (hata mafuriko majimboni mwao hawaendi kusaidia) kisa eti hawakusanyi kodi wao nikula na familia zao.
- wanahitajika lkn hawajielewi,hawajengi maelewano na maridhiano no mipasuko na madharau.
- wanachafua/kutusi watu bila ushahidi kisa wapande kisiasa,walimfanyia hivyo lowassa badae wakala matapishi na hata kinana mpaka kumwomba radhi sasa sijui wanamtaka chamani.
- hawasimamii jambo wakafanikisha mf. katiba,tume ya uchaguzi nk.
Chama kitaanguka vibaya hiki inabidi kijivue gamba kibadilike lasivyo kitapotea kama CUF!!
Hao uwaulize leo zamu ya nani kutukanwa utakumbana na mziki wake lakin mambo ya maendeleo kwakweli hamna kitu ni viazi kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao uwaulize leo zamu ya nani kutukanwa utakumbana na mziki wake lakin mambo ya maendeleo kwakweli hamna kitu ni viazi kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka kupata umaarufu kupitia matusi na kudhalilisha watu,niujinga mkubwa ndio maana Magu anawanyoosha bungeni wafukuzwe wakija huku nje anadili nao sasa wameanza kunyooka wanatikana kwenye kompyuta pumbaffff!!
MTU mchungaji anamsingizis MTU uongo mkubwa miaka yoote mpaka kastaafu ndipo anaomba eti msamaha... Mnafki mkubwa! Nadhani wanafikia mwisho watabadilika sasa
 
Wanataka kupata umaarufu kupitia matusi na kudhalilisha watu,niujinga mkubwa ndio maana Magu anawanyoosha bungeni wafukuzwe wakija huku nje anadili nao sasa wameanza kunyooka wanatikana kwenye kompyuta pumbaffff!!
MTU mchungaji anamsingizis MTU uongo mkubwa miaka yoote mpaka kastaafu ndipo anaomba eti msamaha... Mnafki mkubwa! Nadhani wanafikia mwisho watabadilika sasa
Hawajielewi nahisi wanaongozwa na mihemko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom