Chadema itikadi yenu ni nini??

Chadema itikadi yenu ni nini??

Joined
Feb 11, 2020
Posts
5
Reaction score
2
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
Mnawateka sababu wamegoma kusema itikadi yao?
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
Hawana itikadi bali wanafizia matukio ili wasikike ,leo ukimuuliza Lema SACCOS inamini katia dira ipi ,atakachokumbia ni kuwa Ugali ni chakula cha maskini,nakubalika kwenye jamii ya wachagga,Mke wangu ni kamanda wa ukweli,kutabiria watu vifoo ingawaje alishindwa kutabiri ujio wa Lowassa(2015),siwezi msalimia makonda,na Tundu Lissua tulikubaliana asingombee cheo kimoja na Mwenyekiti Mbowe.🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
Democrasia,maendeleo kwa kukataa,kupinga vitendo ya kifisadi,mafisadi ,matumizi mabaya ya madaraka,rushwa ,uzembe n.k.
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
Post za kijinga sana hizi
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
hao si waliberali wa mambo na haki za jinsia moja gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.

View: https://www.youtube.com/watch?v=84QrS7Ai99A
 
Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Serekali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Tarehe 27 Novemba Mwaka huu. Baada ya tafakuri ya kina, Kuna swali moja kubwa nimejiuliza kuhusu CHADEMA(Chama cha Demokrasia na Maendeleo).

1. JE NINYI NI WAUMINI WA ITIKADI GANI?
Pamoja na mafanikio makubwa kisiasa katikA Miongo miwili ya karibuni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshindwa kuonyesha ni itikadi gani wanayoisimami, zaidi kimekua Chama cha Kuzungumzia Matukio zaidi.

Ukisema wanaamini katika Demokrasia,, hii haitoshi kuaminisha ni kweli endapo watashika dola watakuwa waumini wa Demokrasia na uhuru wa Watu?

Mathalani kupitia Makamo wao Kwenyekiti, alinukuliwa akikiri KUTAPAKAA kwa RUSHWA kwenye uchaguzi wa Ndani ys Chama, japo Mh Makamu hakuenda mbali kutoa ufafanuzi ila kauli hii tosha imekua mwiba kwenye kuitafsiri hasa itikadi wanayosimamia Chadema.
HIVI SAMIA SULUHU HASSAN YUKO WAPI???
 
Back
Top Bottom