Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 17
Wengi hapa tumesoma yaliyotokea dodoma kwenye mkutano wa bilal. Jamaa alikosa watu kabisa ikabidi malori yatumike kutafuta watu sehemu zingine na kuwaleta kwenye mkutano (kwa mafungu).
Hawa jamaa kwa kweli pesa wanazo, wamejaza mabango yote Tanzania, waandishi wa habari wote wanalipwa laki kwa siku, TV na radio zote wameweka mfukoni. Na bado wanalipa watu buku moja au mbili kuhudhuria mikutano yao (unakumbuka mkutano wa jangwani?)
CHADEMA haiwezi kupambana na pesa za CCM. Ukichukulia kuwa watanzania wengi ni masikini, wengi wanaridhika tu hata wakipewa elfu moja ya mboga. CHADEMA wakubali tu kuwa hawana pesa za kuwahonga wananchi, hawana pesa za kusambaza mabango nchi nzima (oooppppsss ccm imenunua mabango yote), na hawana uwezo wa kununua vipindi ITV, Star, Channel 10 nk.
CHADEMA iwakumbushe wananchi kuwa upigaji kura ni siri, hakuna mtu atakuja kuchungulia wamempigia nani kura. CHADEMA iwaruhusu wananchi wachukue pesa za CCM lakini kura wapige kule wanakopenda.
CHADEMA iwaruhusu tu wananchi wachukue rushwa (takrima au chochote unachopenda) maana haina uwezo wa kuizuia anyway.
CHADEMA ikiri kuwa haina pesa za kuhonga hivyo wananchi wasisubiria kidogo kidogo toka kwao. Hata hivyo, wapige kura kwa mapenzi yao na si pesa.
Hawa jamaa kwa kweli pesa wanazo, wamejaza mabango yote Tanzania, waandishi wa habari wote wanalipwa laki kwa siku, TV na radio zote wameweka mfukoni. Na bado wanalipa watu buku moja au mbili kuhudhuria mikutano yao (unakumbuka mkutano wa jangwani?)
CHADEMA haiwezi kupambana na pesa za CCM. Ukichukulia kuwa watanzania wengi ni masikini, wengi wanaridhika tu hata wakipewa elfu moja ya mboga. CHADEMA wakubali tu kuwa hawana pesa za kuwahonga wananchi, hawana pesa za kusambaza mabango nchi nzima (oooppppsss ccm imenunua mabango yote), na hawana uwezo wa kununua vipindi ITV, Star, Channel 10 nk.
CHADEMA iwakumbushe wananchi kuwa upigaji kura ni siri, hakuna mtu atakuja kuchungulia wamempigia nani kura. CHADEMA iwaruhusu wananchi wachukue pesa za CCM lakini kura wapige kule wanakopenda.
CHADEMA iwaruhusu tu wananchi wachukue rushwa (takrima au chochote unachopenda) maana haina uwezo wa kuizuia anyway.
CHADEMA ikiri kuwa haina pesa za kuhonga hivyo wananchi wasisubiria kidogo kidogo toka kwao. Hata hivyo, wapige kura kwa mapenzi yao na si pesa.