CHADEMA jamani vipi, mbona kama hamna kazi za kufanya?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Kama picha inavyoonyesha hapo chini Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe na kundi lake wakitoka Mahakamani ambapo bado wanapambana na Serikali mpka leo hii kuhusu Mazisihi ya Bw.Mawazo, sijui ni siku ya ngapi leo hii tangu kufariki kwake!

Sasa najiuliza huyu Mbowe ambaye ndiye Mwenyekiti wa Chama kilichoshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu hana kazi nyingine muhimu ya kufanya zaidi ya kupigania mazishi? Huko CHADEMA kila kitu kiko sawa?

Hivi hali ingekuwaje kama nguvu hii ya kupigania mazishi angeiwekeza kwenye kupinga Posho wanazolipwa Wabunge ambayo ni laki tatu (300 000) kwa siku huko Mahakamani ili fedha inayobaki iwekezwe kwenye kutatua matatizo ya Wananchi?






 
Jiulize mbona polisi wameshindwa kupambana na majambazi hadi wanavamia vituo wanashindana na chadema kitu gani kinachoshindikana kulinda amani na mawazo akaagwa Mwanza na kuzikwa Geita?
 
We ni kubwa Jinga! Wewe una kazi gani zaidi ya kutegemea buku7 toka lumumba...pumb@-- zako
 
Amebeki na siasa za matukio akidhani kunakisaidia chama chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…