Nimeshangaa na kukurupuka kwa chama hiki kuandaa mkutano wa leo Zackem, Mbagala. Maandalizi mabovu watu wa Dar wanahitaji uwaandae uwape muda wakuweke kwenye ratiba.
Dar sio mkoani au wilayani ambako watu wanaweza kusanyika kirahisi kwa muda mfupi. Hili tukio lilipaswa liwe maalumu kwa siku maalumu ya wikiend kama kesho. Sasa ndugu zangu ghafla tu ona mahudhurio hafifu na ujumbe haujafika, mmewapa wenzenu cha kuongea. Siku ya ufunguzi ilipaswa iache historia.
Jipangeni kama hamuwezi jipanga kuandaa mikutano kama zamani mtaweza linda kura kama mnavyodai?
Nimehudhuria mikutano mingi ya CHADEMA Arusha NMC Mbeya Rwanda nzovwe, Dar Jangwani ilijaa watu. Sio kama wa leo japo nyomi haipigi kura ila inatia moyo.
Dar sio mkoani au wilayani ambako watu wanaweza kusanyika kirahisi kwa muda mfupi. Hili tukio lilipaswa liwe maalumu kwa siku maalumu ya wikiend kama kesho. Sasa ndugu zangu ghafla tu ona mahudhurio hafifu na ujumbe haujafika, mmewapa wenzenu cha kuongea. Siku ya ufunguzi ilipaswa iache historia.
Jipangeni kama hamuwezi jipanga kuandaa mikutano kama zamani mtaweza linda kura kama mnavyodai?
Nimehudhuria mikutano mingi ya CHADEMA Arusha NMC Mbeya Rwanda nzovwe, Dar Jangwani ilijaa watu. Sio kama wa leo japo nyomi haipigi kura ila inatia moyo.