Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manene na poroja za chuki za mwanachukua chako mapema(mwanaccm)
Bila viongozi wa chadema mm naweza kukujibu,swali hayo yaliyotajwa yalifanyika?
Sura lake lenyewe la kigaidi
Una ujinga sana sana kwahio ugaidi ni maneno? CCM wameharibu thinking capacity ya vijana wetu
Kama sio badluck🤔.Mleta mada ni KINGAI
😂Mleta mada ni KINGAI
Propagada huwa kuna video,mahita igp mstaafu ailiambiwa na watawala aseme propaganda hiyo,ikawa ya wakati huo na ikapita,Pole mkuu utuoneshe video tuone
Kabisa nataka kujua kafanikiwa namna ganiMleta mada ni KINGAI
NakaziaUsiniharibie Krismasi yangu, wacha ninywe nisherehekee kutoweka kwa Dikteta.
It seams mbowe alikuwa anapambana mwenyewe bila kujua, hawa akina heche mnyika porojo tuBila viongozi wa chadema mm naweza kukujibu,swali hayo yaliyotajwa yalifanyika?
Acha propaganda dhaifu hata IGP mmoja simtaji kwa sasa ni nsitaafy naye aliitaja CUF imeingiza makitena ya mapaga na majambia kufanya fujo,ulipofanyika uchunguzi hakukuwepi majambia mpka leo ilibakia hadhithi.
Hizo ni propaganda za ccm kuizima chadema isifanye kazi za siasa ihamue mahakamani kupunguzwa kasi,hakuna kitu hapo