CHADEMA kama nyie ni watu wema mje mkanushe maneno haya ya Mh. Mbowe

Bila viongozi wa chadema mm naweza kukujibu,swali hayo yaliyotajwa yalifanyika?
Acha propaganda dhaifu hata IGP mmoja simtaji kwa sasa ni nsitaafy naye aliitaja CUF imeingiza makitena ya mapaga na majambia kufanya fujo,ulipofanyika uchunguzi hakukuwepi majambia mpka leo ilibakia hadhithi.
Hizo ni propaganda za ccm kuizima chadema isifanye kazi za siasa ihamue mahakamani kupunguzwa kasi,hakuna kitu hapo
 
Pole mkuu utuoneshe video tuone
Propagada huwa kuna video,mahita igp mstaafu ailiambiwa na watawala aseme propaganda hiyo,ikawa ya wakati huo na ikapita,
Henry kileo naye alikuwa na keai ya ugaidi Tabora imetungwa na akina mwigulu chemba ucjaguzi wa igunga,nayo ilikosa ushahidi ifafutwa ya Rwakatare enzi hiyo akiwa mkurugenzi wa usalama na ulizi wa chadema ,naye akatafutiwa keai ya ugaidi na akina mwigulu nchemba ,ikaunguruma kisutu,wakinasibu wanaushahidi tosha ,mwisho wa siju kesi inafutwa.
Propaganda kama hizo zilianzia nccr ya zamani inawabunge 49,wakaizima moka kukosa mbunge hata wa viti maalumu,mpaka leo angalia serikali ilivuoifanya cuf ipo tena na profesa lipumba?
Watawala kutumia Tiss ,wanaharakati zao za kuua mapambano ya haaki an demokrasi yanayosumvua utawala kudai haki,
Nyererw wa wabunge wa G19 aliamua kuwapa mavyeo watulie mara waziti mara mkuu wa mkoa amara Dc wakanyamaza kimya.
Ni zamu ya chadema,kuanzia kununua wabunge,madiwani,uchaguzi wa serikali za mita uchaguzi wa 2020 na sasa kesi ya ugaidi.
Hakuna kitu hapi ni kuua upinzani kinamna na hakuna video ya nn wao wametekeleza jukumu lao video ya nn
 
It seams mbowe alikuwa anapambana mwenyewe bila kujua, hawa akina heche mnyika porojo tu
 
Halafu ajali za shule kuungua zimepungua sana siku hizi
 
Hadi sasa naweza sema rafiki wa kweli wa mbowe ni zitto ndiye angalau kamsihi hangaya amwachie nae kaambulia kejeli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…