Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Akizungumza mara baada ya kupiga kura katika Kituo cha Shule ya Msingi Kashato, Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi amesema kitendo cha kuondolewa Wagombea walioapa kama Mawakala kwenye vituo vya Kupigia Kura vinavunja Kanuni za Uchaguzi huo na kufifisha uwazi.