Pre GE2025 CHADEMA, kesho 21.01.2025 tuleteeni nuru na siyo giza

Pre GE2025 CHADEMA, kesho 21.01.2025 tuleteeni nuru na siyo giza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kesho una maana kubwa sana kwa Taifa letu.
Ni siku ambayo Historia ya siasa za upinzani Tanzania inakwenda kuandikwa.

CHADEMA wanakwenda kuamua ama kuendeleza siasa za upinzani au kuua kabisa.

Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya wakati huu kama wajumbe watamchagua Mbowe ni sawa kabisa na kuzika rasmi siasa za upinzani Nchini.

Lakini wajumbe wakimchagua Lissu ni kuwatendea haki Watanzania wengi wenye imani na CHADEMA. Ni kwenda kufufua matumaini mapya ya wafuasi na wakeleketwa wa CHADEMA.

Rai yangu ni kwamba, wajumbe wakapige kura kwa kuweka mbele maslahi ya chama na Watanzania kuliko maslahi ya mtu mmoja.

Naomba Mungu awape wajumbe roho wa hekima ili wakatende vile Watanzania wanavyotaka hasa kwa wakati wa sasa.
 
Huenda pakatokea vurugu na umwagaji damu wa kutisha 🐒
 
Ukweli wa Mungu kwenye hizi bla bla huwezi kuupata ndugu..

Tundu Lissu ni mzuri wa kuzungumza ila kwa Uongozi wa taasisi kubwa kama CDM tumesema hapana.

CDM sio serikal useme atapata usaidizi .. ni chama cha upinzani, hakikusanyi kodi
 
Lisu walishachinjia Baharini muda mrefu sana, si kwa sababu Mbowe ni mzuri laaaah! Rushwa mabavu na figisu zitamwangusha Lisu, na hapo vurugu zitaibuka na ndiyo mwanzo wa mpasuko hatimaye mazishi ya CHADEMA yatatokea
 
Lissu hatoweza chadema na hajawahi kuunganisha watu bali kutenganisha Kwa kejeli,matusi na madharau!!
Mwenyekiti akikosa hekima hakuna lamaana litakalo tokea na Lissu Hana hekima hatakama...
TUNDU akishinda vijana wataumizwa sana kwakuwa anajidai anakifia Cha kutunishiana na serikali jambo ambalo halipo
 
Nawashauri achaneni kupoteza muda wenu kuangaika na mambo ya kijamii kama siasa,wekeza nguvu yako kujenga maisha yako na ya familia yako
 
Kama wajumbe wakimchagua Mbowe mtu ambaye ameungana na watesi wetu basi damu za watu hawa zitakuwa juu ya vichwa vyao milele
 

Attachments

  • FB_IMG_1737358302587.jpg
    FB_IMG_1737358302587.jpg
    43.6 KB · Views: 1
  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 1
Ukweli wa Mungu kwenye hizi bla bla huwezi kuupata ndugu..

Tundu Lissu ni mzuri wa kuzungumza ila kwa Uongozi wa taasisi kubwa kama CDM tumesema hapana.

CDM sio serikal useme atapata usaidizi .. ni chama cha upinzani, hakikusanyi kodi
Kwa nini useme hapa hali wewe sio mwanachadema? Hili swali hujawahi kunijibu
 
Kusanya Kusanya Fitina za Uchaguzi Chadema tuzitumie kwenye Kitangaza Matokeo na Usimamizi wa Uchaguzi Mkuu 2025...

Assenga mchaga yakhe
Tumpe Pole Hilda alikuwa hajui Kuwa siasa Ya Tanzania ni Mchaga Original itoke iende Wapi!?

600px-Marangu19.jpg









Wikipedia
Tafuta

Wachagga​

kabila la Kenya na Tanzania

Wachagga[1] ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu (lakini pia mchanganyiko wa damu, hasa ya Kikushi) wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro.
Nyumba ya asili huko Marangu.
Wachagga ni kabila la tatu kwa ukubwa nchini Tanzania.[2] Takwimu za mwaka 2003 zinaonyesha kuwa idadi yao ni watu 2,000,000. Hata hivyo kabila hilo ni kama mchanganyiko wa makabila madogomadogo yenye lugha tofauti, jambo la pekee nchini Tanzania.
Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara, kilimo na kazi za ofisini.

Vikundi vya Wachagga/Fitina​



Lugha ya Kichagga/FITINA​





Koo za Kichagga/FITINA​









Utawala wa jadi wa Wachagga/FITINA​



Elimu kati ya Wachagga/FITINA​








Ardhi/FITINA​




Kilimo na chakula/FITINA​









Maoni juu ya Wachagga/FITINA​
















Tanbihi/FITINA​




Marejeo/FITINA​






Viungo vya nje/FITINA​





mwisho imehaririwa miezi 5 iliyopita na Riccardo Riccioni


Wikipedia

 
Uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kesho una maana kubwa sana kwa Taifa letu.
Ni siku ambayo Historia ya siasa za upinzani Tanzania inakwenda kuandikwa.

CHADEMA wanakwenda kuamua ama kuendeleza siasa za upinzani au kuua kabisa.
Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya wakati huu kama wajumbe watamchagua Mbowe ni sawa kabisa na kuzika rasmi siasa za upinzani Nchini. Lakini wajumbe wakimchagua Lissu ni kuwatendea haki Watanzania wengi wenye imani na CHADEMA. Ni kwenda kufufua matumaini mapya ya wafuasi na wakeleketwa wa CHADEMA.

Rai yangu ni kwamba, wajumbe wakapige kura kwa kuweka mbele maslahi ya chama na Watanzania kuliko maslahi ya mtu mmoja.
Naomba Mungu awape wajumbe roho wa hekima ili wakatende vile Watanzania wanavyotaka hasa kwa wakati wa sasa.
Nuru ni tundulisu...Giza ni mbowe et.all
 
Uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kesho una maana kubwa sana kwa Taifa letu.
Ni siku ambayo Historia ya siasa za upinzani Tanzania inakwenda kuandikwa.

CHADEMA wanakwenda kuamua ama kuendeleza siasa za upinzani au kuua kabisa.
Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya wakati huu kama wajumbe watamchagua Mbowe ni sawa kabisa na kuzika rasmi siasa za upinzani Nchini. Lakini wajumbe wakimchagua Lissu ni kuwatendea haki Watanzania wengi wenye imani na CHADEMA. Ni kwenda kufufua matumaini mapya ya wafuasi na wakeleketwa wa CHADEMA.

Rai yangu ni kwamba, wajumbe wakapige kura kwa kuweka mbele maslahi ya chama na Watanzania kuliko maslahi ya mtu mmoja.
Naomba Mungu awape wajumbe roho wa hekima ili wakatende vile Watanzania wanavyotaka hasa kwa wakati wa sasa.
Wakienda kinyume na matakwa ya wengi, matokeo watayapata October kwenye uchaguzi mkuu.
Watz wataachana na hicho chama saccos na sidhani chini ya Mbowe kama watapata mbunge au diwani tu
 
Uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kesho una maana kubwa sana kwa Taifa letu.
Ni siku ambayo Historia ya siasa za upinzani Tanzania inakwenda kuandikwa.

CHADEMA wanakwenda kuamua ama kuendeleza siasa za upinzani au kuua kabisa.
Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya wakati huu kama wajumbe watamchagua Mbowe ni sawa kabisa na kuzika rasmi siasa za upinzani Nchini. Lakini wajumbe wakimchagua Lissu ni kuwatendea haki Watanzania wengi wenye imani na CHADEMA. Ni kwenda kufufua matumaini mapya ya wafuasi na wakeleketwa wa CHADEMA.

Rai yangu ni kwamba, wajumbe wakapige kura kwa kuweka mbele maslahi ya chama na Watanzania kuliko maslahi ya mtu mmoja.
Naomba Mungu awape wajumbe roho wa hekima ili wakatende vile Watanzania wanavyotaka hasa kwa wakati wa sasa.
Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya wakati huu kama wajumbe watamchagua Mbowe ni sawa kabisa na kuzika rasmi siasa za upinzani Nchini. Lakini wajumbe wakimchagua Lissu ni kuwatendea haki Watanzania wengi wenye imani na CHADEMA. Ni kwenda kufufua matumaini mapya ya wafuasi na wakeleketwa wa CHADEMA👌🏿💪🏿
 
Back
Top Bottom