CHADEMA Kibaha: Tunamtaka Lissu mwenye maoni, hatutaki pesa

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Moses Mgao, Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Kibaha Mjini amesema haya akiongea na waandishi wa habari

"Napenda kutangaza rasmi, sisi wanachama wa CHADEMA kutoka Mkoa wa Pwani na hasa watu wa Kibaha tumeamu tunakwenda kumpigia kura Mhe. Tundu Lissu awe Mwenyekiti wetu"
 
Clip
 
Mada kama hizi zinamuumiza sana Erythrocyte + maumivu kutoka ccm 😂 huyu binti anaweza kujifungua siku sio zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…