CHADEMA kidedea 2025, mambo haya wayape kipaumbele

CHADEMA kidedea 2025, mambo haya wayape kipaumbele

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Sina wasi kabisa 2025 CCM inawekwa benchi.

Sasa Chadema tunahitaji mambo haya yawe ya mwanzo.

1) Kushusha bei ya umeme kiasi ya kila nyumba kuweza kutumia air condition maana sasa joto halivumiliki. Amuzi Hili liwemo ndani ya wiki ya mwanzo ya Rais wa Chadema

2) Shirika la ndege kuanzisha safari za nje ya bara la Africa kwa bei poa maana waTanzania wengi wapo nje na wengi walio ndani ni wafanya biashara itakuwa wanajaa kuja na kurudi .

3) Ipeleke njia ya reli Kusini mwa Tanzania tena la umeme

4) Kuwasaka masikini na kuwasaidia

5) Kuwasafirisha wagonjwa waliothibitika wanahitaji matibabu nje ya nchi

Na ongezeeni ili tujue tunakokwenda sio hawa ambao Mwalimu Nyerere aliwapiga vita wazeme na wazululaji.
 
Mambo ya ilani yako huko CCM, ilani au ileni.

Haya ni maoni yaliopo mitaani nini wananchi wanahitaji hayo ya ilani bakieni nayo huko huko mnakosafiri, siku october 2025 Chadema inaingia madarakani basi kipau mbele ndio hicho, miundo mbinu baadae maana ukirudi katika kutengeneza miundombinu unatakiwa ulale kwenye kiyoyozi, rudi Bongo uone joto linavyotumaliza.
 
mambo ya ilani yako huko CCM ,ilani au ileni.

haya ni maoni yaliopo mitaani nini wananchi wanahitaji hayo ya ilani bakieni nayo huko huko mnakosafiri,siku october 2025 Chadema inaingia madarakani basi kipau mbele ndio hicho,miundo mbinu baadae maana ukirudi katika kutengeneza miundo mbinu unatakiwa ulale kwenye kiyoyozi,rudi Bongo uone joto linavyotumaliza.
CCM ni gundu tupu
 
mambo ya ilani yako huko CCM ,ilani au ileni.

haya ni maoni yaliopo mitaani nini wananchi wanahitaji hayo ya ilani bakieni nayo huko huko mnakosafiri,siku october 2025 Chadema inaingia madarakani basi kipau mbele ndio hicho,miundo mbinu baadae maana ukirudi katika kutengeneza miundo mbinu unatakiwa ulale kwenye kiyoyozi,rudi Bongo uone joto linavyotumaliza.
Mitaani wapi KINONDONI?
 
Bila tume huru ya uchaguzi ni kazi bure mkuu
kama hio tume ingelikuwepo lakini 2025 ni roho kwa roho tuchachoka kuuliwa mmoja mmoja kila mtu itabidi ajilinde kivyake vyake.
CCM ndio kama tunavyowaona wamekuwa wakuu wa misafara.
Huu ndio mwaka wao wa mwisho CCM imetosha ,sasa ni zamu ya Chadema,mitaani CCM hawapo tuwaonao ni wale wale tunaowaona kwenye meza na viti vya mikutano yao,mwananchi gani akaiunge mkono CCM ? Itabidi akapimwe akili.
 
kama hio tume ingelikuwepo lakini 2025 ni roho kwa roho tuchachoka kuuliwa mmoja mmoja kila mtu itabidi ajilinde kivyake vyake.
CCM ndio kama tunavyowaona wamekuwa wakuu wa misafara.
Huu ndio mwaka wao wa mwisho CCM imetosha ,sasa ni zamu ya Chadema,mitaani CCM hawapo tuwaonao ni wale wale tunaowaona kwenye meza na viti vya mikutano yao,mwananchi gani akaiunge mkono CCM ? Itabidi akapimwe akili.
Tangu 2010 CCM haipo kilichobaki ni tume na polisi
 
Ingekuwa CHADEMA ya 2015 kurudi miaka ya nyuma angalau ingeleta tumaini. CHADEMA hii ya kiongozi anamwamuru kiongozi mwenzake hadharani afute tweet haitakaa itokee.
 
Back
Top Bottom