CHADEMA Kigoma kwafukuta, sarakasi za mwenyekiti wa chama mkoa zapingwa vikali

CHADEMA Kigoma kwafukuta, sarakasi za mwenyekiti wa chama mkoa zapingwa vikali

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.

Tukio hilo limetokea hapo jana Julai 18, 2024 kwenye kikao cha baraza la mashauriano la chama hiko lililofanyika katika ukumbi wa Anglican mjini Kasulu mkoani Kigoma.

Licha ya wenyeviti hao kutoa ushauri lakini mwenyekiti Bujoro aliendelea na msimamo wake wa kupinga kuthibitishwa kwa katibu huyo wa mkoa ambaye vikao vya Kanda ya Magharibi vilimpitisha.

Baadhi ya wenyeviti wa majimbo na wilaya za Mkoa wa Kigoma wakiongea kwa nyakati tofauti na Jambo TV wameelezea kuwa, huenda mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kigoma akawa na ajenda yake nyuma ya pazia ikiwemo kutumika kukihujumu chama hiko kuelekea chaguzi za serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu wa mwakani 2025.

Hata hivyo, msimamo wa wenyeviti wa wilaya na majimbo Mkoa wa kigoma wamesema, watasimama na maamuzi ya kamati tendaji ya Kanda ya Magharibi na wataendelea kumtambua Bw. Boniphace Chuzura kuwa katibu wa CHADEMA wa Mkoa wa Kigoma.
See translation

===

My Take
Naungana na Rais Samia aliposema Hawa watu ni Wachanga sana kwenye Uongozi ngoja walelewe wake na wajifunze kwa CCM.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C9mdzfOBnuM/?igsh=MTZqb2Jua3g5eTNkdg==
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.

Tukio hilo limetokea hapo jana Julai 18, 2024 kwenye kikao cha baraza la mashauriano la chama hiko lililofanyika katika ukumbi wa Anglican mjini Kasulu mkoani Kigoma.

Licha ya wenyeviti hao kutoa ushauri lakini mwenyekiti Bujoro aliendelea na msimamo wake wa kupinga kuthibitishwa kwa katibu huyo wa mkoa ambaye vikao vya Kanda ya Magharibi vilimpitisha.

Baadhi ya wenyeviti wa majimbo na wilaya za Mkoa wa Kigoma wakiongea kwa nyakati tofauti na Jambo TV wameelezea kuwa, huenda mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kigoma akawa na ajenda yake nyuma ya pazia ikiwemo kutumika kukihujumu chama hiko kuelekea chaguzi za serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu wa mwakani 2025.

Hata hivyo, msimamo wa wenyeviti wa wilaya na majimbo Mkoa wa kigoma wamesema, watasimama na maamuzi ya kamati tendaji ya Kanda ya Magharibi na wataendelea kumtambua Bw. Boniphace Chuzura kuwa katibu wa CHADEMA wa Mkoa wa Kigoma.
See translation

===

My Take
Naungana na Rais Samia aliposema Hawa watu ni Wachanga sana kwenye Uongozi ngoja walelewe wake na wajifunze kwa CCM.
Wakati Ndugai anamtandika mtu bakora Kongwa ulikuwa bado hujazaliwa?
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.

Tukio hilo limetokea hapo jana Julai 18, 2024 kwenye kikao cha baraza la mashauriano la chama hiko lililofanyika katika ukumbi wa Anglican mjini Kasulu mkoani Kigoma.

Licha ya wenyeviti hao kutoa ushauri lakini mwenyekiti Bujoro aliendelea na msimamo wake wa kupinga kuthibitishwa kwa katibu huyo wa mkoa ambaye vikao vya Kanda ya Magharibi vilimpitisha.

Baadhi ya wenyeviti wa majimbo na wilaya za Mkoa wa Kigoma wakiongea kwa nyakati tofauti na Jambo TV wameelezea kuwa, huenda mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kigoma akawa na ajenda yake nyuma ya pazia ikiwemo kutumika kukihujumu chama hiko kuelekea chaguzi za serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu wa mwakani 2025.

Hata hivyo, msimamo wa wenyeviti wa wilaya na majimbo Mkoa wa kigoma wamesema, watasimama na maamuzi ya kamati tendaji ya Kanda ya Magharibi na wataendelea kumtambua Bw. Boniphace Chuzura kuwa katibu wa CHADEMA wa Mkoa wa Kigoma.
See translation

===

My Take
Naungana na Rais Samia aliposema Hawa watu ni Wachanga sana kwenye Uongozi ngoja walelewe wake na wajifunze kwa CCM.
Kikundi cha wahuni!
 
Umesahau kuwa huko CCM hata hamuachiani glass ya maji mezani? Si majuzi tu hapa mumemlisha sumu Thadei Ole Mushi hadi mauti yakamkuta? Umesahau Mzee Mangula alivyonusurika kifo kwa kulishwa sumu na yule Vitto Ferrari wenu wa Kisarawe?
 
Acha wauane tu na kusambaratika maana hawana faida wala tija yoyote ile hapa Nchini
 
Ni aibu Kwa chadema kuwa waroho wa madaraka huku wakiwaaminisha watu kwamba wanataka kuwakomboa 🤣🤣🤣🤣
Aibu kwa CHADEMA...Kwa CCM yaliyoko ni vipi ni aibu au uozo kabisa,rushwa,utekaji,mikataba feki...nk?..Mnakuwa waviziaji wa mipishano ya mawazo ya wenzenu tena kwenye vikao,sehemu sahihi kabisa kwa hali kama hiyo kujitokeza?Una wazimu labda kama unataka kutuaminisha hapa JF kwamba huna rekodi ya matukio ya vikao mbalimbali kuvunjika na hata kupigana kabisa...hapa Duniani,na mwisho muafaka na ufumbuzi hupatikana na maisha yakasonga???!!!@
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.

Tukio hilo limetokea hapo jana Julai 18, 2024 kwenye kikao cha baraza la mashauriano la chama hiko lililofanyika katika ukumbi wa Anglican mjini Kasulu mkoani Kigoma.

Licha ya wenyeviti hao kutoa ushauri lakini mwenyekiti Bujoro aliendelea na msimamo wake wa kupinga kuthibitishwa kwa katibu huyo wa mkoa ambaye vikao vya Kanda ya Magharibi vilimpitisha.

Baadhi ya wenyeviti wa majimbo na wilaya za Mkoa wa Kigoma wakiongea kwa nyakati tofauti na Jambo TV wameelezea kuwa, huenda mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kigoma akawa na ajenda yake nyuma ya pazia ikiwemo kutumika kukihujumu chama hiko kuelekea chaguzi za serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu wa mwakani 2025.

Hata hivyo, msimamo wa wenyeviti wa wilaya na majimbo Mkoa wa kigoma wamesema, watasimama na maamuzi ya kamati tendaji ya Kanda ya Magharibi na wataendelea kumtambua Bw. Boniphace Chuzura kuwa katibu wa CHADEMA wa Mkoa wa Kigoma.
See translation

===

My Take
Naungana na Rais Samia aliposema Hawa watu ni Wachanga sana kwenye Uongozi ngoja walelewe wake na wajifunze kwa CCM.
YaaNi mpaka sasa mwenyekiti wa chama mkoa ni yule mzee bujoro ninaye mfaham tangu miaka ya nyuma saana, kipindi nasoma chuo kimoja pale kasulu. Alikuwa na landlova flani halafu alikuwa na shamba la ndizi kule mdyanda. Duuuh, nimepamiss kigomaa
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.

Tukio hilo limetokea hapo jana Julai 18, 2024 kwenye kikao cha baraza la mashauriano la chama hiko lililofanyika katika ukumbi wa Anglican mjini Kasulu mkoani Kigoma.

Licha ya wenyeviti hao kutoa ushauri lakini mwenyekiti Bujoro aliendelea na msimamo wake wa kupinga kuthibitishwa kwa katibu huyo wa mkoa ambaye vikao vya Kanda ya Magharibi vilimpitisha.

Baadhi ya wenyeviti wa majimbo na wilaya za Mkoa wa Kigoma wakiongea kwa nyakati tofauti na Jambo TV wameelezea kuwa, huenda mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kigoma akawa na ajenda yake nyuma ya pazia ikiwemo kutumika kukihujumu chama hiko kuelekea chaguzi za serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu wa mwakani 2025.

Hata hivyo, msimamo wa wenyeviti wa wilaya na majimbo Mkoa wa kigoma wamesema, watasimama na maamuzi ya kamati tendaji ya Kanda ya Magharibi na wataendelea kumtambua Bw. Boniphace Chuzura kuwa katibu wa CHADEMA wa Mkoa wa Kigoma.
See translation

===

My Take
Naungana na Rais Samia aliposema Hawa watu ni Wachanga sana kwenye Uongozi ngoja walelewe wake na wajifunze kwa CCM.
Tunakushukuru kwa kuisambaza Chadema
 
Aibu kwa CHADEMA...Kwa CCM yaliyoko ni vipi ni aibu au uozo kabisa,rushwa,utekaji,mikataba feki...nk?..Mnakuwa waviziaji wa mipishano ya mawazo ya wenzenu tena kwenye vikao,sehemu sahihi kabisa kwa hali kama hiyo kujitokeza?Una wazimu labda kama unataka kutuaminisha hapa JF kwamba huna rekodi ya matukio ya vikao mbalimbali kuvunjika na hata kupigana kabisa...hapa Duniani,na mwisho muafaka na ufumbuzi hupatikana na maisha yakasonga???!!!@
CCM hawapigani ngumi hadharani Bali kwenye vikao
 
CCM hawapigani ngumi hadharani Bali kwenye vikao
Ngumi ni ngumi tu, iwe chumbani au hadharani ni ngumi.
Heri Ndugai angetumia ngumi lakini yeye alitumia rungu la kimasai kumtwanga nalo mgombea mwenzake kikaoni, kipigo kike kilikuja kusababisha kifo baadae
 
Ngumi ni ngumi tu, iwe chumbani au hadharani ni ngumi.
Heri Ndugai angetumia ngumi lakini yeye alitumia rungu la kimasai kumtwanga nalo mgombea mwenzake kikaoni, kipigo kike kilikuja kusababisha kifo baadae
Chadema ni Wachanga ndio maana mnafanya utoto
 
Umesahau kuwa huko CCM hata hamuachiani glass ya maji mezani? Si majuzi tu hapa mumemlisha sumu Thadei Ole Mushi hadi mauti yakamkuta? Umesahau Mzee Mangula alivyonusurika kifo kwa kulishwa sumu na yule Vitto Ferrari wenu wa Kisarawe?
Wewe boya umefufuka?
 
Back
Top Bottom