Hao waliohamia CCM pia walikuwa watu wa ajabuajabu na chama kikiwabeba. Wewe ulikuwa unamjua Mwambe kabla ya 2015,ulikuwa unamjua Lijualikali ama Mollel? Huku kwetu sijui ccm watajinadi kwa lipi maana kama ni ndege hatuna barabara ya kufika airport, kama ni flyover iko DSM haina maana kwetu, kama ni watu kutumbuliwa hela walizokuwa wanafisadi hatujapewa sisi.
Mbeleko wanayoitumia ni Magufuli lakini na yenyewe inaelekea kuchanika.