CHADEMA, kuanzia leo wekeni mkakati wa kuwa na ofisi ya chama kila kata ifikapo 2030

CHADEMA, kuanzia leo wekeni mkakati wa kuwa na ofisi ya chama kila kata ifikapo 2030

Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa chadema na it seems watu hawana mwamko na chadema kwa sababu hakuma mwamasishaji. Erythrocyte
Wazo zuri, tatizo chadema hawafikirii kuwa na vitega uchumi wanataka watu wajitolee tu, utajitolea hadi lini?
 
Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa chadema na it seems watu hawana mwamko na chadema kwa sababu hakuma mwamasishaji. Erythrocyte
Huu ndiyo ushauri wa kisomi. Tunataka kutibu maradhi makubwa ya mwili bila kwenda maabara! Chadema na ACT ni vyama vya mjini tu. Huko mitaani na vijijini havipo. Nimezunguka jana vituo kama kumi hakuna hata wakala wa Chadema. Huwa najiuliza hizi blaablaa za kuibiwa kura wanaozitoa wako Washington au Tanzania hii?
 
Huu ndiyo ushauri wa kisomi. Tunataka kutibu maradhi makubwa ya mwili bila kwenda maabara! Chadema na ACT ni vyama vya mjini tu. Huko mitaani na vijijini havipo. Nimezunguka jana vituo kama kumi hakuna hata wakala wa Chadema. Huwa najiuliza hizi blaablaa za kuibiwa kura wanaozitoa wako Washington au Tanzania hii?
Wazembe wanataka watu wajitolee
 
Viongozi wa juu wamekuwa comfortable, hamna mawazi ya kibunifu kwaajili ya chama. Kusajili wanachama, kufungua matawi kuendane na kufungua ofisi.
 
CCM kwa kuua hawajali hilo, si unaona ambavyo wanavyoua watu kwenye chaguzi ndogo za serikali za mitaa.
 
Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa chadema na it seems watu hawana mwamko na chadema kwa sababu hakuma mwamasishaji. Erythrocyte
Hilo ndilo lq msingi wanatakiwa walijue ila hawana pesa,wenzao walinyanganya rasilimali za umma wakazipeleka chaman ili kuongeza kupato kwenye chama ndiyo maana wanatamba
 
Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa chadema na it seems watu hawana mwamko na chadema kwa sababu hakuma mwamasishaji. Erythrocyte
UKAWA iliwezaje kuishinda ccm? Kinachohitajika kwenye siasa zetu ni Alliance kwenye uchaguzi.
 
Wewe ni mwanachama hai? Umelipia kadi yako? Je ndani ya mwezi huu umefanya juhudi zipi za kuleta wanachama wapya katika eneo lako?

Ofisi si majengo, ofisi ni wanachama.
 
Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa CHADEMA na it seems watu hawana mwamko na CHADEMA kwasababu hakuna mhamasishaji.

Erythrocyte
Bado hamjasema ila leo umezungumza ukweli wako bila unafiki wala haya!
 
Huu ndiyo ushauri wa kisomi. Tunataka kutibu maradhi makubwa ya mwili bila kwenda maabara! Chadema na ACT ni vyama vya mjini tu. Huko mitaani na vijijini havipo. Nimezunguka jana vituo kama kumi hakuna hata wakala wa Chadema. Huwa najiuliza hizi blaablaa za kuibiwa kura wanaozitoa wako Washington au Tanzania hii?
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani huko kote kulikuwa na mawakala, lakini baada ya siasa chafu kuingia hakuna anayetaka kujiingiza matatizoni. Chama makini hujivunia ubora na si wingi. Wingi wa ccm hauchangiwi na ubora, bali sababu za kihistoria na katiba ya chama kimoja.
 
UKAWA iliwezaje kuishinda ccm? Kinachohitajika kwenye siasa zetu ni Alliance kwenye uchaguzi.
Mazingira ya uchaguzi ule hata kusingekuwa na alliance bado upinzani ungepata viti vingi hasa cdm. Baada ya kuingia chafu zilizoasisiwa na magufuli ndio hadi leo tunaona haya yanayoendelea.
 
Back
Top Bottom