Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndiyo Taarifa Mpya ya sasa kutoka kwa Viongozi wa Kanda hiyo
Zaidi soma hapa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kufanya mikutano 105 katika mikoa minne ya Kanda ya Kaskazini katika Operesheni yake ya kukijenga chama huku wakitarajia kutumia ndege ‘chopa’ katika ziara hizo.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Juni 20, 2024, Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa amesema mikutano hiyo itafanyika katika mikoa minne ambayo ni Arusha, Manyara, Tanga na Kilimanjaro.
Amesema operesheni hiyo ya siku 21 itafanyika katika majimbo 35 yaliyopo kwenye mikoa hiyo na itaongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.
Amesema katika majimbo ya Ngorongoro na Karatu kutafanyika mikutano mitano kila jimbo na itaongozwa na Mwenyekiti Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Taifa, Tundu Lissu.
"Kwa majimbo ya Ngorongoro na Karatu tunatarajia kufanya mikutano mitano katika majimbo hayo, na kwa upekee Mwenyekiti wa Taifa atashirikiana na Makamu Mwenyekiti Lissu," amesema.
Golugwa amesema operesheni hiyo inatarajiwa kuanza Juni 22, 2024 katika Jimbo la Karatu mkoani Arusha, ambapo katika majimbo mengine itaongozwa na Mbowe na Mwenyekiti wa Chadema Kanda hiyo, Godbless Lema.
Aidha, amesema kwa sasa wanaendelea kukamilisha maandalizi ya operesheni hiyo ambayo pia watatumia chopa.
"Kaulimbiu yetu tunataka kuonyesha CCM na wapinzani wetu wengine na Watanzania kwa ujumla kwamba tuna watu, tuna Mungu, tuna nguvu. Hiyo ndiyo fahari yetu na uimara wetu Kanda ya Kaskazini ambayo ni ngome ya Chadema," amesema na kuongeza,
"Tunaendelea na maandalizia ikiwemo kupeleka barua ya vibali vya mkutano, ndege kuruka na masuala mengine,"
Katibu huyo amesema operesheni hiyo inafanyika baada ya kumaliza vikao vya mashauriano ndani ya chama vilivyofanyika katika mikoa hiyo ya Kanda ya Kaskazini.
PIA SOMA
Zaidi soma hapa
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Juni 20, 2024, Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa amesema mikutano hiyo itafanyika katika mikoa minne ambayo ni Arusha, Manyara, Tanga na Kilimanjaro.
Amesema operesheni hiyo ya siku 21 itafanyika katika majimbo 35 yaliyopo kwenye mikoa hiyo na itaongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.
Amesema katika majimbo ya Ngorongoro na Karatu kutafanyika mikutano mitano kila jimbo na itaongozwa na Mwenyekiti Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Taifa, Tundu Lissu.
"Kwa majimbo ya Ngorongoro na Karatu tunatarajia kufanya mikutano mitano katika majimbo hayo, na kwa upekee Mwenyekiti wa Taifa atashirikiana na Makamu Mwenyekiti Lissu," amesema.
Golugwa amesema operesheni hiyo inatarajiwa kuanza Juni 22, 2024 katika Jimbo la Karatu mkoani Arusha, ambapo katika majimbo mengine itaongozwa na Mbowe na Mwenyekiti wa Chadema Kanda hiyo, Godbless Lema.
Aidha, amesema kwa sasa wanaendelea kukamilisha maandalizi ya operesheni hiyo ambayo pia watatumia chopa.
"Kaulimbiu yetu tunataka kuonyesha CCM na wapinzani wetu wengine na Watanzania kwa ujumla kwamba tuna watu, tuna Mungu, tuna nguvu. Hiyo ndiyo fahari yetu na uimara wetu Kanda ya Kaskazini ambayo ni ngome ya Chadema," amesema na kuongeza,
"Tunaendelea na maandalizia ikiwemo kupeleka barua ya vibali vya mkutano, ndege kuruka na masuala mengine,"
Katibu huyo amesema operesheni hiyo inafanyika baada ya kumaliza vikao vya mashauriano ndani ya chama vilivyofanyika katika mikoa hiyo ya Kanda ya Kaskazini.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!
- Kuelekea 2025 - Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?
- Ukomavu wa Freeman Mbowe unashangaza! Pamoja na kushambuliwa na wengi lakini hajawahi kulipa kisas
- Tundu Lissu Kuibukia Manyara. Ataongoza Maandamano ya Amani
- CHADEMA yaahirisha Maandamano ya Karatu kwa sababu ya Mafuriko
- Chalamila: Sina taarifa za maandamano, atakayejifanya takataka naye atabebwa siku hiyo
- Mbona CHADEMA mnalalamikia zoezi la usafi wakati RC Chalamila hajalaumu maandamano yenu?
- CHADEMA msitishwe na RC Chalamila
- Albert Chalamila: Usafi wa Wanajeshi hautoathiri maandamano ya CHADEMA
- Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA
- Tetesi: - Chalamila adaiwa kuhusika na ufutaji wa kipindi Wasafi FM
- Kauli za mkuu wa mkoa Chalamila kuhusu siku ya usafi Januari 24
- Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
- Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
- Abdul Mluya: Sisi tulishapigwa, kama CHADEMA wanataka maandamano wajipange na familia zao mbele wapate ladha yake
- Ni aibu kubwa sana kwa CHADEMA kufanya maandalizi ya maandamano Arusha wakati wananchi na mkoa upo kwenye majonzi na simanzi ya kupoteza wapendwa wao
- Hivi vile vyama 13 vya upinzani, vilivyoamua kuungana na CCM, kuwapinga Chadema, wanajisikiaje hivi sasa baada ya kuona maandamano hayo yamefanikiwa?
- Kitatokea nini endapo Vyama Vingine vya Upinzani vitajiunga na maandamano ya CHADEMA?
- Je, CHADEMA wataahirisha maandamano kufuatia kifo cha Edward Lowassa?
- Dkt. Slaa athibitisha kushiriki maandamano ya CHADEMA jijini Mwanza
- RC wa MBEYA atuhumiwa kuhujumu maandamano ya CHADEMA Mbeya
- Mwanza: Wananchi Wakesha kwenye ofisi za CHADEMA ili kuwahi Maandamano
- CHADEMA yaahirisha Maandamano ya Karatu kwa sababu ya Mafuriko
- Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
- Chadema: Sasa Maandamano yatakuwa Utamaduni wetu wa maisha
- Wenje na Chief wanaongelea makubaliano chadema na polisi juu ya maandamano yao
- Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024
- CHADEMA Diaspora kufanya Maandamano makubwa Ulaya na Marekani muda wowote kuanzia sasa
- Joti anayapinga maandamano ya CHADEMA?
- Maandamano ya Chadema yaanza kuiunguza CCM, Viongozi wake waweweseka
- Kwanini CHADEMA watashindwa mapema kuelekea 2025 hata baada ya maandamano?
- CHADEMA kuwa chama cha Maandamano!
- Maandamano CHADEMA yasogezwa mbele
- Polisi kuyapiga marufuku maandamano ya chadema!!
- EFM wakejeli maandamano ya CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA ni jogging hayana impact kwa mtawala
- Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi
- CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi
- Hivi waratibu wa maandamano ni CCM au CHADEMA, mbona CCM wanayaongelea sana?