Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Sahihi kivipi broo. Mbona kama mbegu ya chuki badi ingalipo katika jamii.?Ukicheka na "nyani" utayavuna MABUA ...
Hayati Magufuli alikuwa SAHIHI SANA .....
Usahihi wake UTAKUJA KUJULIKANA VYEMA TU huko mbeleni.....
Siasa za CHADEMA ni siasa za "TUG OF WAR"....kuvutana KAMBA....tena kuvutana haswa....
Hizo ndizo SIASA ZAO....ni siasa ambazo ukiziacha ZITAMALAKI asubuhi ,mchana na jioni BASI UJUE zikifanyika tu mwezi MMOJA MFULULIZO hwenda NCHI IKAKOSA UTULIVU AMBAO unaweza kutuingiza SEHEMU AMBAYO "KUITOKA" itakuwa ni TABU SANA.....
Dawa ya siasa zao za "hovyo" ni kudeal nao "perpendicularly"......
#KaziIendee
Mbona unaandika kama vile umebanwa na tumbo la kuhara?!!!Ukicheka na "nyani" utayavuna MABUA ...
Hayati Magufuli alikuwa SAHIHI SANA .....
Usahihi wake UTAKUJA KUJULIKANA VYEMA TU huko mbeleni.....
Siasa za CHADEMA ni siasa za "TUG OF WAR"....kuvutana KAMBA....tena kuvutana haswa....
Hizo ndizo SIASA ZAO....ni siasa ambazo ukiziacha ZITAMALAKI asubuhi ,mchana na jioni BASI UJUE zikifanyika tu mwezi MMOJA MFULULIZO hwenda NCHI IKAKOSA UTULIVU AMBAO unaweza kutuingiza SEHEMU AMBAYO "KUITOKA" itakuwa ni TABU SANA.....
Dawa ya siasa zao za "hovyo" ni kudeal nao "perpendicularly"......
#KaziIendee
Dikteta kaenda na harudi tena.Ukicheka na "nyani" utayavuna MABUA ...
Hayati Magufuli alikuwa SAHIHI SANA .....
Usahihi wake UTAKUJA KUJULIKANA VYEMA TU huko mbeleni.....
Siasa za CHADEMA ni siasa za "TUG OF WAR"....kuvutana KAMBA....tena kuvutana haswa....
Hizo ndizo SIASA ZAO....ni siasa ambazo ukiziacha ZITAMALAKI asubuhi ,mchana na jioni BASI UJUE zikifanyika tu mwezi MMOJA MFULULIZO hwenda NCHI IKAKOSA UTULIVU AMBAO unaweza kutuingiza SEHEMU AMBAYO "KUITOKA" itakuwa ni TABU SANA.....
Dawa ya siasa zao za "hovyo" ni kudeal nao "perpendicularly"......
#KaziIendee
KULINDA maslahi ya taifa na utivu wake ulioko JPM alikuwa sahihi mno.....Sahihi kivipi broo. Mbona kama mbegu ya chuki badi ingalipo katika jamii.?
Nchi ipo....Dikteta kaenda na harudi tena.
Wrong thinking. Acheni kujificha kwenye kichaka cha amani na utulivu nyie watu.KULINDA maslahi ya taifa na utivu wake ulioko JPM alikuwa sahihi mno.....
Kuna watu wanatumika vibaya mno...wanataka HISTORIA YA UTULIVU WA WATANZANIA iondoke kupitia "SIASA KOKO ZA UDINI ,SIASA KOKO ZA UKABILA ,SIASA KOKO ZA UKANDA ,SIASA KOKO ZA ITIKADI ZISIZO MASHIKO"....
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Hapo sawa, siyo kwa mwamakula wala belgiumMahakama siku hizi ziko huru...?
Mbona hamfungui kesi ya wale Covid 19 na bwana Ndugai?.. mko kimya kwenye hili zaidi ya kelele za mitandaoni?...
Mitandao ndio imemfanya Samia aguswe na tozo za mwigulu aliona watu wakiandamana zaidi ya mitandao.Mahakama siku hizi ziko huru...?
Mbona hamfungui kesi ya wale Covid 19 na bwana Ndugai?.. mko kimya kwenye hili zaidi ya kelele za mitandaoni?...
Mkuu nenda kajisaidie haja kubwa kwanza ndo urudi hapa uandike vizuri,kazilendee ndo nini?.Ukicheka na "nyani" utayavuna MABUA ...
Hayati Magufuli alikuwa SAHIHI SANA .....
Usahihi wake UTAKUJA KUJULIKANA VYEMA TU huko mbeleni.....
Siasa za CHADEMA ni siasa za "TUG OF WAR"....kuvutana KAMBA....tena kuvutana haswa....
Hizo ndizo SIASA ZAO....ni siasa ambazo ukiziacha ZITAMALAKI asubuhi ,mchana na jioni BASI UJUE zikifanyika tu mwezi MMOJA MFULULIZO hwenda NCHI IKAKOSA UTULIVU AMBAO unaweza kutuingiza SEHEMU AMBAYO "KUITOKA" itakuwa ni TABU SANA.....
Dawa ya siasa zao za "hovyo" ni kudeal nao "perpendicularly"......
,ka
#KaziIendee
Sawa na wao wakiamua kudeal nanyi perpendicularly mtatoboa!?Ukicheka na "nyani" utayavuna MABUA ...
Hayati Magufuli alikuwa SAHIHI SANA .....
Usahihi wake UTAKUJA KUJULIKANA VYEMA TU huko mbeleni.....
Siasa za CHADEMA ni siasa za "TUG OF WAR"....kuvutana KAMBA....tena kuvutana haswa....
Hizo ndizo SIASA ZAO....ni siasa ambazo ukiziacha ZITAMALAKI asubuhi ,mchana na jioni BASI UJUE zikifanyika tu mwezi MMOJA MFULULIZO hwenda NCHI IKAKOSA UTULIVU AMBAO unaweza kutuingiza SEHEMU AMBAYO "KUITOKA" itakuwa ni TABU SANA.....
Dawa ya siasa zao za "hovyo" ni kudeal nao "perpendicularly"......
#KaziIendee
Hawa ni wa kuwagonga nyundo za utosi tu,hawana jema na Taifa letu.Ukicheka na "nyani" utayavuna MABUA ...
Hayati Magufuli alikuwa SAHIHI SANA .....
Usahihi wake UTAKUJA KUJULIKANA VYEMA TU huko mbeleni.....
Siasa za CHADEMA ni siasa za "TUG OF WAR"....kuvutana KAMBA....tena kuvutana haswa....
Hizo ndizo SIASA ZAO....ni siasa ambazo ukiziacha ZITAMALAKI asubuhi ,mchana na jioni BASI UJUE zikifanyika tu mwezi MMOJA MFULULIZO hwenda NCHI IKAKOSA UTULIVU AMBAO unaweza kutuingiza SEHEMU AMBAYO "KUITOKA" itakuwa ni TABU SANA.....
Dawa ya siasa zao za "hovyo" ni kudeal nao "perpendicularly"......
#KaziIendee
Maslahi ya ccm na majizi mengine kisahihi zaidiKULINDA maslahi ya taifa na utivu wake ulioko JPM alikuwa sahihi mno.....
Kuna watu wanatumika vibaya mno...wanataka HISTORIA YA UTULIVU WA WATANZANIA iondoke kupitia "SIASA KOKO ZA UDINI ,SIASA KOKO ZA UKABILA ,SIASA KOKO ZA UKANDA ,SIASA KOKO ZA ITIKADI ZISIZO MASHIKO"....
#NchiKwanza
#KaziIendelee