Tetesi: Chadema kufutiwa usajili upoteaji wa Wanachama wao.

Tetesi: Chadema kufutiwa usajili upoteaji wa Wanachama wao.

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Za ndani kuna mkakati unaandaliwa chadema kubebeshwa tuhuma za utekwaji na mauaji ya Mzee Wetu Ally Mohammed Kibao na viongozi wa CHADEMA watakamatwa na CHADEMA itafutiwa Usajili sababu kuna wana Chadema wameshaatengenezwa kutoa ushahidi wengine ni waliotekwa na kufichwa soon wataachiwa na watakua mashahidi mahakamani, Hii kesi itaendeshwa kama ile ya UGAIDI

LISSU atasajiliwa chama kipya na mfumo halafu hakitafika uchaguzi mkuu October 2025 kitafutwa pia na hapo sasa Mama atakua hana upinzani utaomsumbua kwa mahesabu yao. Mnakumbuka katibu mkuu baada JJ John Mnyika ilimlazimu kujificha kanisani karibia wiki kuwakimbia Polisi waliotaka kumkamata na kumhoji juu ya utekwaji na mauaji ya Mzee Ally Mohammed Kibao?

Mr. Freeman Mbowe kua makini soon utapelekwa jela na uliowaamini watakuja kukutolea ushahidi ufungwe na chama kifutiwe usajili watasema kinaendesha mambo ya kigaidi nchini.
 
Nimemsikiliza vizuri RC Chalamila

Kuna uwezekano mkubwa sana Chadema ikafutwa ushahidi wa Kifo Cha Meddy utakapowekwa hadharani Siku chache zijazo

RIP Shujaa Magufuli
 
Ndoto za mchana ni Mbaya sana,Rudi kitandani tena uje na ndoto nyingine
 
tumefika huku dah kama siasa ndio hz bora tu kukaa mbl na siasa ila kama atapita tena mbowe asee kifutwe tu hatukitak
 
Za ndani kuna mkakati unaandaliwa chadema kubebeshwa tuhuma za utekwaji na mauaji ya Mzee Wetu Ally Mohammed Kibao na viongozi wa CHADEMA watakamatwa na CHADEMA itafutiwa Usajili sababu kuna wana Chadema wameshaatengenezwa kutoa ushahidi wengine ni waliotekwa na kufichwa soon wataachiwa na watakua mashahidi mahakamani, Hii kesi itaendeshwa kama ile ya UGAIDI

LISSU atasajiliwa chama kipya na mfumo halafu hakitafika uchaguzi mkuu October 2025 kitafutwa pia na hapo sasa Mama atakua hana upinzani utaomsumbua kwa mahesabu yao. Mnakumbuka katibu mkuu baada JJ John Mnyika ilimlazimu kujificha kanisani karibia wiki kuwakimbia Polisi waliotaka kumkamata na kumhoji juu ya utekwaji na mauaji ya Mzee Ally Mohammed Kibao?

Mr. Freeman Mbowe kua makini soon utapelekwa jela na uliowaamini watakuja kukutolea ushahidi ufungwe na chama kifutiwe usajili watasema kinaendesha mambo ya kigaidi nchini.
Yaan washtakiwe kwa ushahidi upi walionao?
 
Back
Top Bottom