Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
YEYE NI MUNGU KWAKORais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua ss hv unafundishwa na wanasheria namna zuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wang
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema ckukwambia
Washakula hela ya mzungu lazima wakakamae , pesa ya mzungu hailiwi bure lasivyo watafurumushwa huko canadaRais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua ss hv unafundishwa na wanasheria namna zuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wang
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema ckukwambia
💩💩Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua ss hv unafundishwa na wanasheria namna zuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wang
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema ckukwambia
I have liked this proverb
Acha upumbavu wewe, when since kumjibu rais imekuwa ni utovu wa nidhamu? Kama anahitaji kuheshimiwa aachane na urais. Ukiwa rais hakikisha unajipatia heshima siyo kutaka uheshimiwe.Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Washakula hela ya mzungu lazima wakakamae , pesa ya mzungu hailiwi bure lasivyo watafurumushwa huko canada
Kwani unataka CHADEMA wawe na nidhamu wanatafuta uchumba au wanatafuta kumposa mtu? Akili za maandazi hizi,Dola haichukuliwi Kwa kupiga magoti.Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Wewe onaonekana hata ili akili ya kukariri, nayo umeikosa!! Nchi hii wamejaa watu wengi wanaojua kusoma na kuandika tu, lakini akili ya kufanya analysis, wapo wachache sana.Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma