CHADEMA kujiandaa kumjibu Rais Samia ni utovu mkubwa wa adabu

Washakula hela ya mzungu lazima wakakamae , pesa ya mzungu hailiwi bure lasivyo watafurumushwa huko canada
Ona punguani jingine hili hapa. Halina hata uwezo wa kujenga hoja, linajaza seva za JF bure.
 
..Mama Abduli naye kala hela ya Waarabu ndio maana kafuta vijiji vya Wamaasai.
Usikute nao wamesoma kisomo chao huko baada ya Wamasai kugoma kuondoka naye dinari za watu ameshalamba
 
Yaani umchague mtu kuwaongoza alafu akiwaongoza vibaya na kutotimiza wajibu mliompatia kuyatekeleza then mkiongea ni kosa? Hii upumbavu unajifunza wapi?
Punguza upumbavu ndugu utafika mbali.
 
Siku hizi hata baba au mama hupewa ushauri /majibu, mambo kuwa mkubwa hakosei hayapo karne hii yetu.

Umekosea unaambiwa umekosea na unapewa jibu nini ufanye kwa usahihi, sasa ukikubali au kukataa hiyo ni juu yako ila umepewa tayari umeambiwa
 
Ni mwenyekiti wa chama tawala
 
Hekima ni ya muhimu sana hapa

Mithali 26 : 4 - Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Mithali 26 : 5 - Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Proverbs 26:4-5 AMP
[4] Do not answer [nor pretend to agree with the frivolous comments of] a [closed-minded] fool according to his folly, Otherwise you, even you, will be like him. [5] Answer [and correct the erroneous concepts of] a fool according to his folly, Otherwise he will be wise in his own eyes [if he thinks you agree with him]. [Matt 16:1-4; 21:24-27]
 
AMEN
 
Nyie akin Magufuli mmezoea kuburuza watu hadi mnakufa, nchi hii demokrasia inaminywa na Magufuli ndiye mwaribifu wa demokrasia ya nchi hii.
 
Wewe ni Popoma usiye na ubongo kichwani. Kwani mtu akiwa Rais anageuka kuwa Mungu mpaka watu wazuiliwe kumjibu, au hata kumkosoa!
 
Kujibu ni muhimu ili kuweka ufafanuzi wa mambo maana kuna uongo unaenezwa, uongo ukirudiwarudiwa huonekana ni ukweli kwa wasiojua.
 

Kujibu ni muhimu ili kuweka ufafanuzi wa mambo maana kuna uongo unaenezwa, uongo ukirudiwarudiwa huonekana ni ukweli kwa wasiojua.
Huenda Viongozi wa Chadema wanakutana ili kutafakari kwa pamoja ujumbe wa Rais Samia kwa umma, na kuangalia cha 'Kumshauri' ...na si kumjibu, kwani 'hawakuulizwa'.
 
Kwani rais ni Mungu kwamba hawezi kukosolewa wala kujibiwa? Huyo ni mtumishi wa uma anayeishi kwa kodi za wananchi
 
Tuna vimtu humu bado vinaishi kama na vina akili za kitumwa, mmojawapo ni wewe uliyeleta huu uzi
 
Wacha wajibu ujumbe umewafikia na hakuna utovu wowote
 
Rais aliyeko madarakani kwa uchaguzi wa kishenzi ana heshima gani labda?
 
Kumbuka baba yako ni CDM damu, baba yako ndiye ataandika majibu hivyo naye hana adabu?
 
Watamjibu Mwenyekiti wa ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…