Ona punguani jingine hili hapa. Halina hata uwezo wa kujenga hoja, linajaza seva za JF bure.Washakula hela ya mzungu lazima wakakamae , pesa ya mzungu hailiwi bure lasivyo watafurumushwa huko canada
Usikute nao wamesoma kisomo chao huko baada ya Wamasai kugoma kuondoka naye dinari za watu ameshalamba..Mama Abduli naye kala hela ya Waarabu ndio maana kafuta vijiji vya Wamaasai.
Yaani umchague mtu kuwaongoza alafu akiwaongoza vibaya na kutotimiza wajibu mliompatia kuyatekeleza then mkiongea ni kosa? Hii upumbavu unajifunza wapi?Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua ss hv unafundishwa na wanasheria namna zuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wang
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema ckukwambia
Ni mwenyekiti wa chama tawalaRais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua ss hv unafundishwa na wanasheria namna zuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wang
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema ckukwambia
Proverbs 26:4-5 AMPHekima ni ya muhimu sana hapa
Mithali 26 : 4 - Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Mithali 26 : 5 - Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Nimecheka Sana Ile barua ya IkuluMbona na nyie(Ikulu) mmetoa pres release tofauti na alichosema jana. Au ndio damage control?
AMENProverbs 26:4-5 AMP
[4] Do not answer [nor pretend to agree with the frivolous comments of] a [closed-minded] fool according to his folly, Otherwise you, even you, will be like him. [5] Answer [and correct the erroneous concepts of] a fool according to his folly, Otherwise he will be wise in his own eyes [if he thinks you agree with him]. [Matt 16:1-4; 21:24-27]
Nyie akin Magufuli mmezoea kuburuza watu hadi mnakufa, nchi hii demokrasia inaminywa na Magufuli ndiye mwaribifu wa demokrasia ya nchi hii.Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Wewe ni Popoma usiye na ubongo kichwani. Kwani mtu akiwa Rais anageuka kuwa Mungu mpaka watu wazuiliwe kumjibu, au hata kumkosoa!Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Wewe onaonekana hata ili akili ya kukariri, nayo umeikosa!! Nchi hii wamejaa watu wengi wanaojua kusoma na kuandika tu, lakini akili ya kufanya analysis, wapo wachache sana.
Rais kwani ni nani hata asijibiwe pale anapopotosha? Unaamini kuwa Rais hawezi kukosea? Au Rais siyo mwanadamu?
Huenda Viongozi wa Chadema wanakutana ili kutafakari kwa pamoja ujumbe wa Rais Samia kwa umma, na kuangalia cha 'Kumshauri' ...na si kumjibu, kwani 'hawakuulizwa'.Kujibu ni muhimu ili kuweka ufafanuzi wa mambo maana kuna uongo unaenezwa, uongo ukirudiwarudiwa huonekana ni ukweli kwa wasiojua.
Kwani rais ni Mungu kwamba hawezi kukosolewa wala kujibiwa? Huyo ni mtumishi wa uma anayeishi kwa kodi za wananchiRais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Wacha wajibu ujumbe umewafikia na hakuna utovu wowoteRais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Rais aliyeko madarakani kwa uchaguzi wa kishenzi ana heshima gani labda?Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Kumbuka baba yako ni CDM damu, baba yako ndiye ataandika majibu hivyo naye hana adabu?Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Watamjibu Mwenyekiti wa ccmRais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma