DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Wakuu
Hizi tetezi nimesikia toka juzi kuwa Wakili Msomi Tundu Antiphas atatangazwa na chama chake kama mgombea wa nafasi ya spika bunge la KATIBA
Tundu ni gwiji wa sheria nchini.
Hizi tetezi nimesikia toka juzi kuwa Wakili Msomi Tundu Antiphas atatangazwa na chama chake kama mgombea wa nafasi ya spika bunge la KATIBA
Tundu ni gwiji wa sheria nchini.