Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
asanteAgusie report ya Human Rights Watch iiyotoka karibuni juu ya uvunjaji wa haki za binadamu nchini.
press conferences with completely no impacts at all 🐒Wakuu Mambo ni Mengi mno na Muda ni Mchache, lakini niwaombe sana kutegea sikio Mkutano huu, Hakika mtapigwa na Bumbuwazi.
Katibu Mkuu wa Chama John Mnyika atazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari kesho tarehe 17 Oktoba 2024 saa tano asubuhi, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam. Waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
View attachment 3126931
Sasa Chadema wanalowaza ni maandamano na press conference tuWanataka kuandamana tena wazee wa siasa za maandamano.
Wajinga hawalazimishwi kufuatiliaChadema press conference zimezidi hazina mvuto tena