SI KWELI CHADEMA kupeleka majina mengine ya wabunge Viti Maalum Bungeni

SI KWELI CHADEMA kupeleka majina mengine ya wabunge Viti Maalum Bungeni

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
MADAI
Taarifa zinaenea mitandaoni kuwa CHADEMA watapeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukua ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Zaidi ya hayo inadaiwa Bunge litaridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa.

1657978998926.png
 
Tunachokijua
Baada ya kufatilia na muda kupita tumebaini kuwa taarifa hizi sio za kweli.

Mpaka sasa chama cha CHADEMA hakijapeleka majina yoyote ya Wabunge wa viti maalumu.

Kilichopo kwa sasa kuna kesi mahakamani ambapo mbunge Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga maamuzi ya Baraza kuu la Chadema kuwafuta uanachama.

Aidha, kuhusu Halima Mdee na wenzake kuendelea kuwa Wabunge Spika Tulia Aksoni ameidhinisha wabunge hao kuendelea na ubunge wao mpaka pale majibu ya kesi ya mahaka yakitoka.
Back
Top Bottom