Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Safi sana, Chadema waanzishe TV maana hao wapuuzi wanaweza kufanyiwa figisu wakakata matangazo.
Taarifa iko wapi?
Mungu ibariki CHADEMA
Mjomba huamini mimi? tangu lini?Taarifa iko wapi?
AmenMungu ibariki CHADEMA
HahahaMjomba huamini mimi? tangu lini?
Saa 3 usiku macho yangu yote yatakuwa ITV kuona watu makini wakijadili vitu Kwa upeo wa hali ya juu
Trump aliomba michango hadi kupika Chips na kuwagawia wapita njia, ushirikishwaji wa umma ni jambo muhimu sana, hasa kwa Chama kama Chadema ambacho hakitegemei wauza ungaTukio gani zaidi ya kuomba michango? Ikiwa siyo kuomba michango mods wanipige ban masaa 24.
Nyie na majizi ya ccm hamna tofauti hamjapata tu nafasi.
Bora kuchangia chama kuliko kuhongwa viberiti na chumvi wanaccm ni vilaza wanazalilishwa .naambiwa mke wake lucas anapewaga buku kiberiti na chumvi.Trump aliomba michango hadi kupika Chips na kuwagawia wapita njia, ushirikishwaji wa umma ni jambo muhimu sana, hasa kwa Chama kama Chadema ambacho hakitegemei wauza unga
Msiende kurushiana manreno ninyi kwa ninyi, pigeni vita nje siyo nddaniHii ndio Taarifa ya ghafla iliyotufikia hivi Punde
View attachment 3252242
No Reform No Election
========
Mengineyo: Inatarajiwa ITV kuvunja rekodi ya Watazamaji Tangu kuanzishwa kwake.
Sasa bila mchango watajiendeshaje Mkuu,angalau CCM wanahamisha kutoka Serikalini kwenda Chamani sasa CDM bila hiyo michango si watakufa.Tukio gani zaidi ya kuomba michango? Ikiwa siyo kuomba michango mods wanipige ban masaa 24.
Nyie na majizi ya ccm hamna tofauti hamjapata tu nafasi.
Jipige ban mwenywe usisumbue mods,No reform no electionTukio gani zaidi ya kuomba michango? Ikiwa siyo kuomba michango mods wanipige ban masaa 24.
Nyie na majizi ya ccm hamna tofauti hamjapata tu nafasi.
Tayari Tuko liveTaarifa iko wapi?
Sawa ngoja tujiunge tuongeze views ITVTayari Tuko live