johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaripoti Kutokea wapi ndugu REPORTER.Inasemekana Chadema itatangaza utaratibu wa Mapokezi ya Makamu mwenyekiti mh Tundu Lisu anayetakiwa kuwasili hivi karibuni
Tundu Lisu anaweza kushukia KIA kisha kusindikizwa na msafara mkubwa hadi Dar es salaam au atashukia Zanzibar na kusindikizwa na msafara mkubwa wa Mashua hadi Dar es salaam
Kila la kheri Chadema
Togo st Jirani na UfipaUnaripoti Kutokea wapi ndugu REPORTER.
Ashukie Zanzibar. Na mm niende na mtumbwi wangu toka hapa Nyumba ya Munguau atashukia Zanzibar na kusindikizwa na msafara mkubwa wa Mashua hadi Dar es salaam
Nauli kapata?Inasemekana Chadema itatangaza utaratibu wa Mapokezi ya Makamu mwenyekiti mh Tundu Lisu anayetakiwa kuwasili hivi karibuni
Tundu Lisu anaweza kushukia KIA kisha kusindikizwa na msafara mkubwa hadi Dar es salaam au atashukia Zanzibar na kusindikizwa na msafara mkubwa wa Mashua hadi Dar es salaam
Kila la kheri Chadema
Labda ruzukuKeshapata nauli?
Mbege na kisusioMuda mwingine huwa unakunywa chai kweli?
Alimsaliti mamako!!??Ni Tanzania tu ambapo msaliti anaweza kufanyiwa mapokezi
Sitasita kukupa vidonge vyako ukiandika upuuzi. Leo umekunywa mchuzi wa nini sijui, ngoja upate mimba ya chadema utulieInasemekana Chadema itatangaza utaratibu wa Mapokezi ya Makamu mwenyekiti mh Tundu Lisu anayetakiwa kuwasili hivi karibuni
Tundu Lisu anaweza kushukia KIA kisha kusindikizwa na msafara mkubwa hadi Dar es salaam au atashukia Zanzibar na kusindikizwa na msafara mkubwa wa Mashua hadi Dar es salaam
Kila la kheri Chadema