Uchaguzi 2020 CHADEMA kutumia kalamu maalum kupiga kura?

Uchaguzi 2020 CHADEMA kutumia kalamu maalum kupiga kura?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Maajabu hayaishi,ukisikia visingizio kuhusu karatasi basi ujue hadaa kuhusu kalamu maalum kupiga kura inakuja.

Hili si geni,ikifika kipindi karibu na kupiga kura lazima Chadema waibuke na jipya ikiwa ni mbinu ya kujiandaa kisaikolojia.

Je Chadema wanaamini kalamu zitakazotolewa na Tume ya uchaguzi kupigia kura?mwaka 2015 wafuasi wa Chadema walitumia kalamu zao wakiamini kuwa kalamu za NEC zilikuwa "kinyume" na mgombea wao.

Ni suala la muda tu.
 
Ndugu zangu,

Maajabu hayaishi,ukisikia visingizio kuhusu karatasi basi ujue hadaa kuhusu kalamu maalum kupiga kura inakuja.

Hili si geni,ikifika kipindi karibu na kupiga kura lazima waibuke na jipya ikiwa ni mbinu ya kujiandaa kisaikolojia.

Je Chadema wanaamini kalamu zitakazotolewa na Tume ya uchaguzi kupigia kura?mwaka 2015 wafuasi wa Chadema walitumia kalamu zao wakiamini kuwa kalamu za NEC zilikuwa "kinyume" na mgombea wao.

Ni suala la muda tu.
Chadema hawana hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura kuwachagua.

Watanzania wako huru, wao wanaenda kuwaambia watawaletea uhuru! CCM inawaambia vitu specific ilivyofanya na inavyopanga kufanya. Wasilaumu kalamu,obviously CCM itashinda...
 
Ni suala la muda tu.
Una maana gani ni hii ni "Suala la muda tu"?

Mbona haiendani kabisa na hayo mengine uliyoyaandika huko juu?

Wewe kinachokushangaza hapo ni nini kama CHADEMA wataamua kutumia kalamu zao wakiamini watakuwa wanalinda kura zao kwa kufanya hivyo!.

Mbona wewe huhoji mbinu zinazopangwa kutumiwa kuvuruga uchaguzi ikiwa ni pamoja na hiyo ya karatasi zitakazotumiwa?

Sasa linalokushangaza hapo ni nini kama unao ufahamu mzuri kuhusu mambo haya ya wizi wa kura?
 
Duh hatari sana
Chadema hawana hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura kuwachagua.

Watanzania wako huru, wao wanaenda kuwaambia watawaletea uhuru! CCM inawaambia vitu specific ilivyofanya na inavyopanga kufanya. Wasilaumu kalamu,obviously CCM itashinda...
 
Tutawandika hata watumie kalamu za Robert
una sifa za kijinga sana wewe, kutwa upo humu kuandika ujinga, ama ndio una subiri uteuzi...mwaka huu iwe kwa maji ama damu nchi hii hatutaki irudi mikononi mwa wanyang'anyi
 
Mmeishiwa hoja mnakuja na viroja ,rudini kwenye kampeni huko mbona mnakimbia kampeni
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kamanda jenga hoja
una sifa za kijinga sana wewe, kutwa upo humu kuandika ujinga, ama ndio una subiri uteuzi...mwaka huu iwe kwa maji ama damu nchi hii hatutaki irudi mikononi mwa wanyang'anyi
 
Back
Top Bottom