Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…Chadema hawana hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura kuwachagua.
Watanzania wako huru, wao wanaenda kuwaambia watawaletea uhuru! CCM inawaambia vitu specific ilivyofanya na inavyopanga kufanya. Wasilaumu kalamu,obviously CCM itashinda...
Bora aliyewatukana kuliko huyu ambae kawafunga mashekhe 200
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichaa babakoUnajifanya hujui kama alimtukana Nyerere, aliwatukana waislam pia huoni hizo ni kashfa na ni kasoro kichwani mwa mgombea wenu? Lissu ni kichaa. Over.
Kama Uhuru,upo mbeleko lukuki za Nini kukibeba chama mbogamboga.Chadema hawana hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura kuwachagua.
Watanzania wako huru, wao wanaenda kuwaambia watawaletea uhuru! CCM inawaambia vitu specific ilivyofanya na inavyopanga kufanya. Wasilaumu kalamu,obviously CCM itashinda...
Mkuu, jibuhi hoja ya CHADEMA, ni nani amepewa zabuni ya kuchapisha hizo karatasi, je amewashinda wengine kwa vigezo gani?Ndugu zangu,
Maajabu hayaishi,ukisikia visingizio kuhusu karatasi basi ujue hadaa kuhusu kalamu maalum kupiga kura inakuja.
Hili si geni,ikifika kipindi karibu na kupiga kura lazima Chadema waibuke na jipya ikiwa ni mbinu ya kujiandaa kisaikolojia.
Je Chadema wanaamini kalamu zitakazotolewa na Tume ya uchaguzi kupigia kura?mwaka 2015 wafuasi wa Chadema walitumia kalamu zao wakiamini kuwa kalamu za NEC zilikuwa "kinyume" na mgombea wao.
Ni suala la muda tu.
CCM ndani ya shimo la tewa!!CCM lazima ife
umepanik
KabisaCCM ndani ya shimo la tewa!!
Zinotoka masikioni ni wale ambao hawaamini kinachotokea,hawapigi tena push up,ni magoti na kugaragara.hali no tête kwa ccm safari hii.Kenge ni kenge tu.....damu zinatoka masikioni
Kwanza utaratibu huo hauko kisheria, hivyo NEC haitaururhusu. Pili ni mbinu na mipango ya viongozi wa juu wa CHADEMA akiwamo mgombea wao Lissu, kuwaibia wana CHADEMA pesa zao kwa kusema wamenunua KALAMU MAALUM na kuziwekea bei za ajabu ajabu kwa nia na lengo ya kupiga hayo mahela ya CHADEMA, vinginevyo ni wizi wa mchamna!Ndugu zangu,
Maajabu hayaishi,ukisikia visingizio kuhusu karatasi basi ujue hadaa kuhusu kalamu maalum kupiga kura inakuja.
Hili si geni,ikifika kipindi karibu na kupiga kura lazima Chadema waibuke na jipya ikiwa ni mbinu ya kujiandaa kisaikolojia.
Je Chadema wanaamini kalamu zitakazotolewa na Tume ya uchaguzi kupigia kura?mwaka 2015 wafuasi wa Chadema walitumia kalamu zao wakiamini kuwa kalamu za NEC zilikuwa "kinyume" na mgombea wao.
Ni suala la muda tu.