Uzi wa kihanithi kabisa huuCHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Mimi na wewe nani anademka. Unaujua undani wa familia ya PROF. Balegu(RIP) au kimbelembele kama STEVE NYERERE sio????Unademka ee
foka- ila ukweli uko pale pale nyie ni wanafiki
Mama Samia ana busara sana anatanguliza utu mbele na siyo vinginevyo, moja ya mambo ya kujifunza kutoka kwake ni pamoja na hili la kutanguliza utu kwanza.CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Chadema hawafanyi wanachokiamini na hawaamini wanachokifanya.CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Yaani mawazo ya wana Chadema sijui mnayatoaga wapi! Taarifa ya Chadema inasema "Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema" halafu wewe unasema eti alikuwa na cheo gani hadi atangazwe? Kwahiyo, Chadema hicho sio cheo? Basi sawa. By the way, kwa Chadema asiye na cheo hapaswi kutangazwa anaumwa ila akifa ndio anatangazwa? Basi sawa!Baregu alikuwa rais wa wapi? Je mpaka anafariki alikuwa na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya cdm, mpaka cdm wawajibike kutoa taarifa zake kichama? Naona unalazimisha hata yasiyofanana ili kusawazisha ule upuuzi wa kipindichs dhalimu.
Tofautisha Rais wa Nchi na Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama wakati mwingine Azima hata AKILI ZA jirani yakoCHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Haya majamaa yanayojiita makamanda yamedata.CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Jirani pia hawezi mwazima akili maana anajua atamchafua hata yeye la msingi akae kimya afiche ujinga wakeTofautisha Rais wa Nchi na Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama wakati mwingine Azima hata AKILI ZA jirani yako
Tunawashukuru CCM na mwenyekiti wake kwa Salamu hizi. Ila mlete hoja hajui tofauti ya Rais wa nchi na Mwanachama na mjumbe wa vikao vya chama cha siasa. Kwanini wafuasi wa CCM upeo wao ni fichu? Rais ni wa wote siyo wa kikundi fulani cha chama cha siasa. Naomba sana CCM wajitahidi kuwaelimisha watu wao, naona kila siku ni kutia aibu tu kwa uelewa wao fichu.CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Kwani Prof. Baregu alikuwa kiongozi wa kitaifa serikalini?CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Mleta uzi bila shaka anatokea team ya WASAFI (DABILIYUSIBI). Pale hata mtu akiugua mafua yupo insta live. Asipo oga muda mrefu anaenda insta live.
Buda mleta uzi ugonjwa na kifo ni faragha ya wanafamilia.