vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni mptupu.
Yaani kila mtu anamasharubu, huelewi kiongozi ni yupi?!!! kila mtu anaitisha press!!!! hiyo ndio chadema hakuna adabu wala heshima.
Ila tunawatakia uchaguzi wa amani.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni mptupu.
Yaani kila mtu anamasharubu, huelewi kiongozi ni yupi?!!! kila mtu anaitisha press!!!! hiyo ndio chadema hakuna adabu wala heshima.
Ila tunawatakia uchaguzi wa amani.