Kukemea rushwa leo imekuwa ni jambo la kihuni na lisilopaswa kufanywa hadharani?vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni mptupu.
Yaani kila mtu anamasharubu, huelewi kiongozi ni yupi?!!! kila mtu anaitisha press!!!! hiyo ndio chadema hakuna adabu wala heshima.
Ila tunawatakia uchaguzi wa amani.
vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni mptupu.
Yaani kila mtu anamasharubu, huelewi kiongozi ni yupi?!!! kila mtu anaitisha press!!!! hiyo ndio chadema hakuna adabu wala heshima.
Ila tunawatakia uchaguzi wa amani.
Kinaprokocha, kinaporomocha
Kukemea ufisadi na kutaja bila kuuma uma maneno kwamba Abdul alileta koba kuhonga taasisi ya Cdm ili kuinyamazisha, wasilete fyoko fyoko kwa Serikali kwako ni poa sana na kwamba kwako hayo ni matusi?vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni mptupu.
Yaani kila mtu anamasharubu, huelewi kiongozi ni yupi?!!! kila mtu anaitisha press!!!! hiyo ndio chadema hakuna adabu wala heshima.
Ila tunawatakia uchaguzi wa amani.
Unaishi wàpi wewe? Unataka nyumbu wawe na akili?vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni mptupu.
Yaani kila mtu anamasharubu, huelewi kiongozi ni yupi?!!! kila mtu anaitisha press!!!! hiyo ndio chadema hakuna adabu wala heshima.
Ila tunawatakia uchaguzi wa amani.