johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu ataongoza mashambulizi kwa kugombea Ubunge jimbo la Kikwajuni.
Hadi sasa zaidi ya makamanda 34 wa CHADEMA wameshachukua fomu za kugombea Ubunge na uwakilishi nchini Zanzibar.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
Hadi sasa zaidi ya makamanda 34 wa CHADEMA wameshachukua fomu za kugombea Ubunge na uwakilishi nchini Zanzibar.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama