onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,356
- 1,309
Suala la mawakala ni muhimu Sana kwa vyama vya upinzani. Toeni elimu kwa mawakala wenu na ikibidi wachagueni walio watiifu na waadilifu kufanya shughuli ya kusimamia kura zenu. Kila Mara vyesi baada ya matokeo ni njama za kupindisha matokeo.
Kuna rafiki zangu Fulani wamenitonya kuwa kuna fununu kuwa makatibu wa chama fulani wanajaribu kuingilia uchaguzi huu ili kulazimisha wasimamizi wakuu kuwatangaza wagombea wa chama chao hata Kama hawatashinda. Ni habari mbaya na kwa sababu Ni fununu Basi isipuuzwe.
Uchaguzi ukiwa huru na haki, maendeleo ya kweli yatapatikana. Dalili mbaya Ni sawa na Tambo la OCD wa Hai kwa Mbowe kuwa hawezi kumshinda mpinzani wake hata afanyeje. Kama huyu tayari amevujisha Siri Basi kwingineko Hali inaweza kuwa Ni hiyo Kama tahadhari haitachukuliwa. Sasa Ni muda wa kuchuja nani awe wakala atakayesimamia haki kwenye kituo Cha kupigia kura na majumuisho katani na majimboni.
NEC ijaribu kuwa wakweli katika kutoa matokeo na kamwe wasizibe pamba masikioni. Uchaguzi ni gharama kwahiyo kutumia fedha za wananchi kumtengenezea mtu mmoja ushindi Ni kosa la hujumu uchumi.
Kuna rafiki zangu Fulani wamenitonya kuwa kuna fununu kuwa makatibu wa chama fulani wanajaribu kuingilia uchaguzi huu ili kulazimisha wasimamizi wakuu kuwatangaza wagombea wa chama chao hata Kama hawatashinda. Ni habari mbaya na kwa sababu Ni fununu Basi isipuuzwe.
Uchaguzi ukiwa huru na haki, maendeleo ya kweli yatapatikana. Dalili mbaya Ni sawa na Tambo la OCD wa Hai kwa Mbowe kuwa hawezi kumshinda mpinzani wake hata afanyeje. Kama huyu tayari amevujisha Siri Basi kwingineko Hali inaweza kuwa Ni hiyo Kama tahadhari haitachukuliwa. Sasa Ni muda wa kuchuja nani awe wakala atakayesimamia haki kwenye kituo Cha kupigia kura na majumuisho katani na majimboni.
NEC ijaribu kuwa wakweli katika kutoa matokeo na kamwe wasizibe pamba masikioni. Uchaguzi ni gharama kwahiyo kutumia fedha za wananchi kumtengenezea mtu mmoja ushindi Ni kosa la hujumu uchumi.