Pre GE2025 CHADEMA kwisha habari yao

Pre GE2025 CHADEMA kwisha habari yao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Toga

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2015
Posts
586
Reaction score
604
Chadema kilikuwa kimbilio la vijana wengi wasomi nikikumbuka vijana wengi wasomi kimbilio kilikuwa Chadema lakini kwa sasa naona Chadema inaelekea kuwa CUF ilio changamka shupazeni TU shingo ndio mtajua hamjui soft politics kwa sasa hazitakiwa kabisa mtajikuta mmebaki wawili tunamhitadi tundu lisu kwenye siasa za weka ugoko niweke chuma bila hivyo tutatekwa vijana wote wenye mlengo tofauti na ccm
 
Cdm kilikuwa kimbilio la vijana wengi wasomi nikikumbuka vijana wengi wasomi kimbilio kilikuwa cdm lakini kwa sasa naona cdm inaelekea kuwa cuf ilio changamka shupazeni TU shingo ndio mtajua hamjui soft politics kwa sasa hazitakiwa kabisa mtajikuta mmebaki wawili tunamhitadi tundu lisu kwenye siasa za weka ugoko niweke chuma bila hivyo tutatekwa vijana wote wenye mlengo tofauti na ccm
Jan 22,2025 ni siku ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kumaliza mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
 

Attachments

  • 20241219_172147.jpg
    20241219_172147.jpg
    120.3 KB · Views: 3
Cdm kilikuwa kimbilio la vijana wengi wasomi nikikumbuka vijana wengi wasomi kimbilio kilikuwa cdm lakini kwa sasa naona cdm inaelekea kuwa cuf ilio changamka shupazeni TU shingo ndio mtajua hamjui soft politics kwa sasa hazitakiwa kabisa mtajikuta mmebaki wawili tunamhitadi tundu lisu kwenye siasa za weka ugoko niweke chuma bila hivyo tutatekwa vijana wote wenye mlengo tofauti na ccm
Mbowe asome alama za nyakati inatosha
 
Jan 22,2025 ni siku ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kumaliza mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
Mzee wa hovyo wa CCM mapenzi kwa CHADEMA yametoka wapi?

Lugha za kipumbavu za mwaka 1970 ya mabwanyenye na vibaraka wakati wa TANU mpuuzi ndio umekariri leo kwenye maisha ya kidigitali ambayo ufahamu ni mkubwa na kijana wa leo atakuona juha tu.

Hebu pumzika kama mzee mwenzio wa hovyo Kinana
 
Chanzo ni CCM kuweka mapandikizi yao Chadema

Mbowe ni pandikizi

nyinyi Maccm, kesheni mkiswali, na ole wenu sala zenu zikataliwe kwa shetwani wenu
 
Back
Top Bottom