Jan 22,2025 ni siku ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kumaliza mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒Cdm kilikuwa kimbilio la vijana wengi wasomi nikikumbuka vijana wengi wasomi kimbilio kilikuwa cdm lakini kwa sasa naona cdm inaelekea kuwa cuf ilio changamka shupazeni TU shingo ndio mtajua hamjui soft politics kwa sasa hazitakiwa kabisa mtajikuta mmebaki wawili tunamhitadi tundu lisu kwenye siasa za weka ugoko niweke chuma bila hivyo tutatekwa vijana wote wenye mlengo tofauti na ccm
Mbowe asome alama za nyakati inatoshaCdm kilikuwa kimbilio la vijana wengi wasomi nikikumbuka vijana wengi wasomi kimbilio kilikuwa cdm lakini kwa sasa naona cdm inaelekea kuwa cuf ilio changamka shupazeni TU shingo ndio mtajua hamjui soft politics kwa sasa hazitakiwa kabisa mtajikuta mmebaki wawili tunamhitadi tundu lisu kwenye siasa za weka ugoko niweke chuma bila hivyo tutatekwa vijana wote wenye mlengo tofauti na ccm
Mzee wa hovyo wa CCM mapenzi kwa CHADEMA yametoka wapi?Jan 22,2025 ni siku ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kumaliza mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒