Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Kwani Nyerere alikaa madarakani kwa muda ganiMimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu. Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza Ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha miaka ya viongozi kukaa madarakani) mfano Mwenyekiti wetu yupo madarakani muda mrefu Ila ndo hatuna cha kumfanya, HAGUSIKI imekua kama UFALME
NB: Katiba mpya haiji kwenye keyboard, tuna mikakati gani (strategically) kutimiza Hilo?
Mwenyekiti atakaa madarakan mpaka ccm mtakapoondoka bila nyie kuondoka mwenyekiti hatoki mtake msitake.Mimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu. Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza Ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha miaka ya viongozi kukaa madarakani) mfano Mwenyekiti wetu yupo madarakani muda mrefu Ila ndo hatuna cha kumfanya, HAGUSIKI imekua kama UFALME
NB: Katiba mpya haiji kwenye keyboard, tuna mikakati gani (strategically) kutimiza Hilo?
Hili swali limemzidi umri hawezi kukujibu mtoto wa 95 huyoKwani nyerere alikaa madarakani kwa muda gani
Mimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu.
Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza Ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha miaka ya viongozi kukaa madarakani) mfano Mwenyekiti wetu yupo madarakani muda mrefu Ila ndo hatuna cha kumfanya, HAGUSIKI imekua kama UFALME.
NB: Katiba mpya haiji kwenye keyboard, tuna mikakati gani (strategically) kutimiza Hilo?
Mimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu.
Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza Ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha miaka ya viongozi kukaa madarakani) mfano Mwenyekiti wetu yupo madarakani muda mrefu Ila ndo hatuna cha kumfanya, HAGUSIKI imekua kama UFALME.
NB: Katiba mpya haiji kwenye keyboard, tuna mikakati gani (strategically) kutimiza Hilo?
Mtajiita majina mengi mbwa nyieMimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu.
Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha miaka ya viongozi kukaa madarakani) mfano Mwenyekiti wetu yupo madarakani muda mrefu Ila ndo hatuna cha kumfanya, HAGUSIKI imekua kama UFALME.
NB: Katiba mpya haiji kwenye keyboard, tuna mikakati gani (strategically) kutimiza Hilo?
Nyerere si alikuwa Dictator na aliifanya Tanzania nchi ya chama kimojaKwani Nyerere alikaa madarakani kwa muda gani
Toa mitano halisi.Asilimia 90% ya Wabunge wa viti Maalum ( vivid 19) Waume zao ni Wajumbe wa Kamati kuu ya Chadema ila ndio hivyo tena wanasema tusihusishe Maisha binafsi na Siasa kwa kifupi tusihusishe Maigizo na maisha halisi
OkayTunataka Demokrasia CHADEMA
Tunataka Demokrasia CHADEMA