Pre GE2025 CHADEMA Makete: Tumebadili tu Gia, Mbowe hana baya

Pre GE2025 CHADEMA Makete: Tumebadili tu Gia, Mbowe hana baya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Makete mkoani Njombe wamezungumzia uchaguzi wa viongozi wa chama hicho taifa pamoja na namna uchaguzi huo ulivyofanyika

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

"Siasa za nchi yetu kwa sasa zinamfaa mtu kama Tundu Lissu, Mbowe tunamheshimu sana lakini tumeona apumzike kwa sasa kijiti kipokelewe na mtu mwingine, tumeamua tubadili gia ya gari" amesema Kevin Sanga mwanachama wa CHADEMA.
1737697829375.png

1737697865073.png
 
Back
Top Bottom