Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Makete mkoani Njombe wamezungumzia uchaguzi wa viongozi wa chama hicho taifa pamoja na namna uchaguzi huo ulivyofanyika
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
"Siasa za nchi yetu kwa sasa zinamfaa mtu kama Tundu Lissu, Mbowe tunamheshimu sana lakini tumeona apumzike kwa sasa kijiti kipokelewe na mtu mwingine, tumeamua tubadili gia ya gari" amesema Kevin Sanga mwanachama wa CHADEMA.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
"Siasa za nchi yetu kwa sasa zinamfaa mtu kama Tundu Lissu, Mbowe tunamheshimu sana lakini tumeona apumzike kwa sasa kijiti kipokelewe na mtu mwingine, tumeamua tubadili gia ya gari" amesema Kevin Sanga mwanachama wa CHADEMA.