Uchaguzi 2020 CHADEMA, Mawakala wenu wako wapi muda huu?

Uchaguzi 2020 CHADEMA, Mawakala wenu wako wapi muda huu?

fenestra rotunda

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2015
Posts
608
Reaction score
614
Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi.

Ikumbukwe jana nilionya kuhusu maandalizi yenu ifikapo leo ila sikupata majibu ya kuridhisha toka kwa wadau.

Mawakala wa CHADEMA walioko humu mnaweza tupa updates ya kinachojiri huko maana kama mko serious basi muda huu mngepaswa kuwa sehemu husika mapema kabisa hata kama mtaapa hiyo saa tano asubuhi.

Kulalamika na kulia hakutasaidia kitu, dawa ni kuanza kushughulika mapema ili hao waapishaji wakose ajenda ya kuwafanyia figisu.
 
Imekuwa kawaida ya upinzani kusubiri ama kuzubaa, ama kudili na maswala madogo ya mpito na kusahaulishwa swala la msingi linalohitaji nguvu kubwa akili na uharaka.

Ni vyema wapinzani wakakutana Leo mapema kuelezea uma juu ya hofu ya mbinu chafu za kuzuia mawakala badala ya kusubiri wazuiwe kwa hila kisha ndio muanze kulalama. Ibaneni tume, polisi na wizara husika, pazeni sauti. Toeni maelekezo kwa maafisa wenu,wanachama na mashabiki wenu
 
Screenshot_20201021-082217.jpg

Na hii ilikuwa leo asubuhi...sioni u-seriousness wa chadema katika hili..na hapa ndipo turufu ya ushindi huanzia,ukibugi eneo hili hutofanya lolote la maana hatua zinazofuatia.
 
Haiwezekani na haikubaliki shughuli kama hii ya kisheria iwe wengine wanapewa utaratibu wengine wanavizia kama digidigi wasikose kuwajibika. Ilikuwa ni jukumu la Tume kuhakikisha mawakala wote wanapata nafasi sawa ya kusimamia wagombea wao.

Ku side na upande kwa msimamizi yeyote wa uchaguzi ni sawa na kukubali kujihukumu kifo maana aletaye kifo kwa wengine anastahili naye kifo.

Kifo kivipi, Mimi sijui watajua wenye kuamua
 
Wao wajaribu tu kutowapa viapo sisi ikifika tarehe 28 Kama kituo hakina wakala wa upinzani kura hazitapigwa mpaka apatikane na tuhakikishe yupo ndani ndio zoezi lianze

Huyu ni Lissu sio Lowassa.
 
Mawakala, mawakala, mawakala, mawakala, mawakala.
Chadema, Chadema, Chadema, Chadema, Chadema.
 
Hata wakati wa kumuondoa Amin kama tungekuwa na figisu figisu za aina hii tusingemuondoa.
Atatoka tuu kwa heri au Shari zitakazoletwa na NEC

 
Pia fuatilieni kama viapo Ni katani au tarafani. Himizaneni kujua hilo haraka vinginevyo mmeliwa.
 
CCM letani uhuni ndio mtajuwa mpo wangapi mwaka huu na wana nchi tupo wangapi
 
Hakuna cha aibu mahali unapofanyiwa unyama, ni wajibu wa kuchukua hatua.
Ofisi za Tume na mabox yake zikichomwa moto ni lawama kwao wenyewe sio wananchi
Acha ushamba wewe home boy ,daily naona unaandika ujinga ujinga wako humu,
kama unaweza kufanya unachotaka kufanya,unasita nini kufanya?

Unachukulia poa kihivyo siyo?
 
Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi...
Mawakala wa Chadema hawana hata nauli, mkuu alitafuna pesa za kampeni na michango ya wabunge. Chama kina hali mbaya sama.
 
Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi...
Mawakala wote walijulishwa tangu Jana sehemu za kwenda kuapishwa.
 
Ficha upumbavu wako si Mmekalia Jf kutukana na Ukibendera
Nyie Mkipata 20% Mjipongeze ma Faru john
Shida ya wahudumu wa ofisi za ccm wakipata bundle ni tatizo.
Hebu peleka hizi salamu huko ndugu mhudumu (OA)

 
Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi.

Ikumbukwe jana nilionya kuhusu maandalizi yenu ifikapo leo ila sikupata majibu ya kuridhisha toka kwa wadau.

Mawakala wa CHADEMA walioko humu mnaweza tupa updates ya kinachojiri huko maana kama mko serious basi muda huu mngepaswa kuwa sehemu husika mapema kabisa hata kama mtaapa hiyo saa tano asubuhi.

Kulalamika na kulia hakutasaidia kitu, dawa ni kuanza kushughulika mapema ili hao waapishaji wakose ajenda ya kuwafanyia figisu.
POOR OGANIZESHENI NA DHARAU DHARAU NI KITU MBAYA SANA
 
Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi.

Ikumbukwe jana nilionya kuhusu maandalizi yenu ifikapo leo ila sikupata majibu ya kuridhisha toka kwa wadau.

Mawakala wa CHADEMA walioko humu mnaweza tupa updates ya kinachojiri huko maana kama mko serious basi muda huu mngepaswa kuwa sehemu husika mapema kabisa hata kama mtaapa hiyo saa tano asubuhi.

Kulalamika na kulia hakutasaidia kitu, dawa ni kuanza kushughulika mapema ili hao waapishaji wakose ajenda ya kuwafanyia figisu.
Tuta kuja kesho leo foreni...hahah

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom