Watakopwa kama wale wa 2015 hawajalipwa hadi Leo .Chadema waliwalaghai kuwa kafanyeni kazi ikiisha ndio tunawapa.Hawakupewa hata mia hadi leoMawakala wa Chadema hawana hata nauli, mkuu alitafuna pesa za kampeni na michango ya wabunge. Chama kina hali mbaya sama.
Si waendelee kufanya ndio utaona wanafanywa nini?Acha ushamba wewe home boy ,daily naona unaandika ujinga ujinga wako humu,
kama unaweza kufanya unachotaka kufanya,unasita nini kufanya?
Unachukulia poa kihivyo siyo?
Tunapowaambia chadema kuwa uongozi wa chama unaanzia huku chini mashinani huwa hawaelewi....hawana mwenyekiti wa mtaa ahata mmoja, wakati wenzao CCm wameanza kupeana taarifa kuazia kwa balozi wa nyumba 10, na wanahakikisha wakala sio mamluki kwakuwa anajulikana tabia zake mtaa.Pia fuatilieni kama viapo Ni katani au tarafani. Himizaneni kujua hilo haraka vinginevyo mmeliwa.
Hizo Ngonjera za Vibendera hazitustuiShida ya wahudumu wa ofisi za ccm wakipata bundle ni tatizo.
Hebu peleka hizi salamu huko ndugu mhudumu (OA)
View attachment 1606984
Dada wacha uzushi tulilipwa.Watakopwa kama wale wa 2015 hawajalipwa hadi Leo .Chadema waliwalaghai kuwa kafanyeni kazi ikiisha ndio tunawapa.Hawakupewa hata mia hadi leo
Ushauri unaoishiHata wakati wa kumuondoa Amin kama tungekuwa na figisu figisu za aina hii tusingemuondoa.
Atatoka tuu kwa heri au Shari zitakazoletwa na NEC
Shida ya wahudumu wa ofisi za ccm wakipata bundle ni tatizo.
Hebu peleka hizi salamu huko ndugu mhudumu (OA)
View attachment 1606984
Kuwaapisha mawakala wa vyama ni takwa la kisheria na siyo jambo la hisani, japokuwa CCM inatumia vibaya kigezo hiki kwa vile tu vyombo vyake ndivyo vinahusika na suala hili!Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi.
Ikumbukwe jana nilionya kuhusu maandalizi yenu ifikapo leo ila sikupata majibu ya kuridhisha toka kwa wadau.
Mawakala wa CHADEMA walioko humu mnaweza tupa updates ya kinachojiri huko maana kama mko serious basi muda huu mngepaswa kuwa sehemu husika mapema kabisa hata kama mtaapa hiyo saa tano asubuhi.
Kulalamika na kulia hakutasaidia kitu, dawa ni kuanza kushughulika mapema ili hao waapishaji wakose ajenda ya kuwafanyia figisu.
Wao wajaribu tu kutowapa viapo sisi ikifika tarehe 28 Kama kituo hakina wakala wa upinzani kura hazitapigwa mpaka apatikane na tuhakikishe yupo ndani ndio zoezi lianze
Huyu ni Lissu sio Lowassa.
CCM letani uhuni ndio mtajuwa mpo wangapi mwaka huu na wana nchi tupo wangapi
Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi.
Ikumbukwe jana nilionya kuhusu maandalizi yenu ifikapo leo ila sikupata majibu ya kuridhisha toka kwa wadau.
Mawakala wa CHADEMA walioko humu mnaweza tupa updates ya kinachojiri huko maana kama mko serious basi muda huu mngepaswa kuwa sehemu husika mapema kabisa hata kama mtaapa hiyo saa tano asubuhi.
Kulalamika na kulia hakutasaidia kitu, dawa ni kuanza kushughulika mapema ili hao waapishaji wakose ajenda ya kuwafanyia figisu.
Huyo ni keyboard warrior, kashashiba magimbi kwa shemeji yakeAcha ushamba wewe home boy ,daily naona unaandika ujinga ujinga wako humu,
kama unaweza kufanya unachotaka kufanya,unasita nini kufanya?
Unachukulia poa kihivyo siyo?
Huyo ni keyboard warrior, kashashiba magimbi kwa shemeji yake
CCM ni vibaka wavamiziCcm sio wananchi?