CHADEMA Mbeya waomba Serikali ipeleke Huduma za Kijamii Kata ya Ilungu iliyokumbwa na mmomonyoko wa ardhi

CHADEMA Mbeya waomba Serikali ipeleke Huduma za Kijamii Kata ya Ilungu iliyokumbwa na mmomonyoko wa ardhi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mbeya Shitambala na Diwani wake wa Kata ya Ilungu iliyokumbwa na mmomonyoko wa ardhi wameiomba Serikali kuwapelekea Huduma za Kijamii.

Shitambala amesema Serikali isisubiri hali iwe mbaya sana ndio ipeleke Huduma za Kijamii

Source Upendo Tv
 
Ungeweka hapa picha za huo mmomonyoko ili watu waangalie kwa walio mbali kidogo na eneo husika.
 
Back
Top Bottom