johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mbeya Shitambala na Diwani wake wa Kata ya Ilungu iliyokumbwa na mmomonyoko wa ardhi wameiomba Serikali kuwapelekea Huduma za Kijamii.
Shitambala amesema Serikali isisubiri hali iwe mbaya sana ndio ipeleke Huduma za Kijamii
Source Upendo Tv
Shitambala amesema Serikali isisubiri hali iwe mbaya sana ndio ipeleke Huduma za Kijamii
Source Upendo Tv